Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Azam isiishie Kagame, ikashinde Afrika

PICHA KUBWA*Aipongeza kutokuwa tawi la Simba na Yanga
*Aeleza imepunguza ukame wa vikombe

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amewatakama bingwa wapya wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati,Azam kutoishia kushinda Kombe la Kagame pekee badala yake isonge mbele na kushinda mataji makubwa ya ubingwa Afrika.
Kikwete alitoa changamoto hiyo jana Ikulu wakati alipokutana na mabingwa hao wapya wa Kagame kwa ajili ya kumkabidhi kombe...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Azam mabingwa Kagame

AZAM FC jana iliweka historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yaanza vyema Kagame

TIMU ya soka Azam FC jana imeanza vyema michuano ya Kombe Kagame Cup, baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0, dhidi ya KCCA ya Uganda, Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo wa kwanza kwa Azam FC, msimu huu uliwachukua dakika ya 12 ya kuandika bao la kwanza lililowekwa kimiani na nahodha wao John Bocco ‘Adebayor’ aliyepokea pasi ya Shomari Kapombe.

Azam, walitengeneza nafasi nyingi za katika kipindi cha kwanza, lakini ukosefu umakini kwa safu ya ushambuliaji ndio...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yajipigia Malakia Kagame

Azam imejisafishia njia ya kucheza robo fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 baada ya jana kuichapa Malakia ya Sudan Kusini, mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yapiga ‘mkono’ Kagame

Kipre Tchetche aliibuka shujaa kwa kuifungia Azam mabao mawili katika ushindi mnono wa mabao 5-0 ilioupata dhidi ya Adama City ya Ethiopia na kuiwezesha kumaliza vizuri hatua ya makundi ya mashindano ya Kagame

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Kagame Cup quarters in sight for Azam

Azam FC will be seeking to join teams that are through to the quarterfinals of the 2015 Cecafa Kagame Cup when they take on South Sudan’s Malakia at the National Stadium today.

 

10 years ago

Mtanzania

Kapombe, Leonel waiua Azam Kagame

Kikosi cha Azam

Kikosi cha Azam

NA ZAITUNI KIBWANA, RWANDA

TIMU ya Azam FC jana imeaga Michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kutolewa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na timu ya El- Merreikh ya Sudan, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Nyamirambo, mjini hapa.

Mchezo huo ulifikia kuamuliwa kwa penalti baada ya timu hizo kwenda sare ya kutofungana ndani ya dakika tisini.

Wachezaji wa Azam waliopata penalti ni, Aggrey Morris, Didier Kavumbagu na Erasto Nyoni, huku Shomar Kapombe akipaisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’

MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani