Azam yapiga ‘mkono’ Kagame
Kipre Tchetche aliibuka shujaa kwa kuifungia Azam mabao mawili katika ushindi mnono wa mabao 5-0 ilioupata dhidi ya Adama City ya Ethiopia na kuiwezesha kumaliza vizuri hatua ya makundi ya mashindano ya Kagame
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqxTNb2ymtdFaSW2tDM5zo70hKvvk5cE6ePRyHGqMS05PcBtoiRPw6QQFi7MmabBUNiFu4UPgOp679e2ozaHr8VB/1ngasa.jpg?width=650)
YANGA YAPIGA MKONO
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Azam yapiga tafu madola
10 years ago
Habarileo03 Aug
Azam mabingwa Kagame
AZAM FC jana iliweka historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Azam yajipigia Malakia Kagame
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Azam FC yaanza vyema Kagame
TIMU ya soka Azam FC jana imeanza vyema michuano ya Kombe Kagame Cup, baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0, dhidi ya KCCA ya Uganda, Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo wa kwanza kwa Azam FC, msimu huu uliwachukua dakika ya 12 ya kuandika bao la kwanza lililowekwa kimiani na nahodha wao John Bocco ‘Adebayor’ aliyepokea pasi ya Shomari Kapombe.
Azam, walitengeneza nafasi nyingi za katika kipindi cha kwanza, lakini ukosefu umakini kwa safu ya ushambuliaji ndio...
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Azam bingwa Kagame Cup
TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.
Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...
10 years ago
TheCitizen03 Aug
SOCCER : Azam are Kagame Cup champs
10 years ago
TheCitizen21 Jul
Kagame Cup quarters in sight for Azam
10 years ago
Habarileo01 Aug
Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame
AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.