Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yapiga ‘mkono’ Kagame

Kipre Tchetche aliibuka shujaa kwa kuifungia Azam mabao mawili katika ushindi mnono wa mabao 5-0 ilioupata dhidi ya Adama City ya Ethiopia na kuiwezesha kumaliza vizuri hatua ya makundi ya mashindano ya Kagame

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA YAPIGA MKONO

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia moja ya mabao yao katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Na Martha Mboma
VITA ni vita, Yanga imeonyesha haiwezi kukubali ubingwa utue Azam FC kirahisi badala yake ama iupate kwa mbinde au Jangwani watetee ubingwa wao msimu huu, hiyo ni baada ya kutoa kipigo kikali cha mabao 5-1 kwa JKT Ruvu katika mechi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yapiga tafu madola

Wanamichezo wanaokwenda kushiriki michuano ya Madola wamepata dola 93,000, sawa na Sh160 milioni kutoka Kampuni ya Said Salim Bakharessa iliyowakabidhi jana mbele ya Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia.

 

10 years ago

Habarileo

Azam mabingwa Kagame

AZAM FC jana iliweka historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yajipigia Malakia Kagame

Azam imejisafishia njia ya kucheza robo fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 baada ya jana kuichapa Malakia ya Sudan Kusini, mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yaanza vyema Kagame

TIMU ya soka Azam FC jana imeanza vyema michuano ya Kombe Kagame Cup, baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0, dhidi ya KCCA ya Uganda, Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo wa kwanza kwa Azam FC, msimu huu uliwachukua dakika ya 12 ya kuandika bao la kwanza lililowekwa kimiani na nahodha wao John Bocco ‘Adebayor’ aliyepokea pasi ya Shomari Kapombe.

Azam, walitengeneza nafasi nyingi za katika kipindi cha kwanza, lakini ukosefu umakini kwa safu ya ushambuliaji ndio...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER : Azam are Kagame Cup champs

It was an eventful and historic afternoon yesterday as hosts Azam FC stunned favourites Gor Mahia of Kenya 2-0 to win their first ever Cecafa Kagame Cup title at the National Stadium.

 

10 years ago

TheCitizen

Kagame Cup quarters in sight for Azam

Azam FC will be seeking to join teams that are through to the quarterfinals of the 2015 Cecafa Kagame Cup when they take on South Sudan’s Malakia at the National Stadium today.

 

10 years ago

Habarileo

Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame

AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani