YANGA YAPIGA MKONO
![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqxTNb2ymtdFaSW2tDM5zo70hKvvk5cE6ePRyHGqMS05PcBtoiRPw6QQFi7MmabBUNiFu4UPgOp679e2ozaHr8VB/1ngasa.jpg?width=650)
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia moja ya mabao yao katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Na Martha Mboma VITA ni vita, Yanga imeonyesha haiwezi kukubali ubingwa utue Azam FC kirahisi badala yake ama iupate kwa mbinde au Jangwani watetee ubingwa wao msimu huu, hiyo ni baada ya kutoa kipigo kikali cha mabao 5-1 kwa JKT Ruvu katika mechi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Azam yapiga ‘mkono’ Kagame
9 years ago
Habarileo10 Oct
Yanga yapiga ramli msaidizi wa Mkwasa
UONGOZI wa Yanga bado unaendelea kufanya utafiti wa kumtafuta mbadala wa Charles Mkwasa kwa ajili ya kusaidiana na Kocha Mkuu Hans Pluijm (pichani) kukinoa kikosi hicho.
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-i7HRbT0bhDA/XvVyYqrMGcI/AAAAAAACOc4/pQ9alYfg1TEqd8mhbA-6EqhLYU80f2aFwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-8.jpg)
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Yanga yampa mkono wa kwaheri Maximo
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusufu Manji, amempa mkono wa kwaheri aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonard Neiva na kumkabidhi rasmi madaraka kocha Hans van Pluijm na msaidizi wake, Boniface Mkwasa kukifundisha kikosi hicho.
Licha ya kuwaaga makocha hao, Manji hakuweka wazi sababu zilizowafanya kuwaondoa makocha hao zaidi aliwatakia kila la kheri huko waendako na kuwashukuru kwa ushirikiana...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Winga Ngassa apewa mkono wa heri Yanga
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Yanga, Simba, Azam zatia mkono fainali Kombe la Chalenji
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)