Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MASHABIKI KUINGIA UWANJANI MECHI ZA SIMBA NA YANGA NJE YA DAR

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Jurgen Klopp asikitishwa na mashabiki Liverpool kuondoka uwanjani kabla ya mechi kumalizika

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Kocha Jurgen Klopp baada ya kopoteza mechi yake ya kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Brendan Rogders baada kufungwa na timu ya Crystal Palace mashabiki wa Liverpool waliamua kuondoka uwanjani na walimuacha peke yake kocha Jurgen Klopp mara baada ya mlinzi wa Crystal Palace, Scot Danny kufunga goli la ushindi katika dakika ya 82 ya mchezo na kufanya matokeo kuwa 2-1.

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Akiongelea tukio hilo baada ya mchezo huo kumalizika, kocha huyo raia wa Ujerumani alisema amesikitishwa sana na kitendo...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel (Kushotoa) akiwa na Mwenyekiti wa wahitimu hao Dk. John Lupimo wakati wa hafla ya wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa utoaji huduma za tiba asili iliyofanyika Jijini Dodoma, jana.

DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yapiga marufuku uuzaji matunda yaliyokatwa

Serikali imetoa tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu kuendelea kuwa tishio kwa baadhi ya mikoa nchini tangu ugonjwa huo uliporipotiwa Agosti 15 mwaka huu.

Tahadhari hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipozungumza Jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kusambaa kwa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kunaendelea kwa kasi tangu iliporipotiwa kwa mara ya kwanza mwaka huu Agosti 15,...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi

Na Greyson  Mwase, Tarime
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi  kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18  kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama  vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...

 

9 years ago

Global Publishers

Serikali yapiga marufuku matangazo yanayohusu Tiba asili

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu akiwa na Naibu Waziri Wa Afya Hamis Kigwangala.
Taarifa kutoka Wizara ya Afya kuanzia tarehe 24 Desemba 2015 imepiga marufuku matangazo yote yanayohusu tiba asili na tiba mbadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Wale wote wenye vibali wanatakiwa kuviwasilisha vibali na matangazo yao kwenye Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala ili vifanyiwe mapitio. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma unaofanywa na...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati meza) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Serikali kuunda timu maalumu ya kutembelea maeneo yaliyosugu kwa utekaji na mauaji ya albino nchini ambapo timu hiyo inatarajiwa kuanza kazi wiki mbili zijazo kwa kuanza na mikoa sugu ya matukio hayo ambayo ni Mwanza, Geita, Simiyu, Tabora na Shinyanga na baadaye itafuata mikoa mingine. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu na kushoto ni Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani