Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAF yakataa kuahirisha kombe la Afrika

Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limekata kuahirisha mchuano wa kombe la mataifa licha ombi la Morocco ikihofia mlipuko wa Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Morocco yakataa kuandaa CAF 2015

Morocco haitakuwa mwenyeji wa dimba la kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015, kwa sababu ya hofu ya kuenea kwa ugonjwa wa Ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika

Shirikisho la soka barani Afrika limetaja timu zitakazokwaana na Twiga Stars katika fainali za soka za wanawake Congo Brazzaville.

 

10 years ago

BBCSwahili

All Afrika Games CAF yataja makundi

Upangaji wa makundi ya All Africa Games umefanywa na Shirikisho la soka barani Afrika, CAF .

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika:K haitaandaa kombe la Afrika

Waziri wa Michezo wa Afrika kusini Fikile Mbalula amesema taifa lake haliko tayari kuandaa dimba la kombe la Afrika endapo taifa la Morrocco itakataa

 

9 years ago

Dewji Blog

CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-Ayew

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-AyewMmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew..

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Mataifa ya Afrika

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika itaendelea ilivyopangwa pamoa na kuwepo Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika

Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tathmini ya Kombe la Mataifa ya Afrika

Baada ya Ivory Coast kuibuka bingwa wa mwaka huu wa Kombe la mataifa ya Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani