Dewji Mtu wa Mwaka Afrika
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL), Mohammed Dewji maarufu Mo, ameshinda tuzo ya Mtu wa Mwaka barani Afrika wa jarida maarufu la Fobes (Forbes Africa Person Of the Year 2015), katika hafla iliyofanyika usiku wa kuamkia jana jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mo Dewji azidi kunga’ra Afrika
MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, Mohamed Dewji ‘Mo’, amezidi kung’ara katika biashara ambako safari hii amejumuishwa kwenye orodha ya mabilionea 55 wa Afrika. Mo ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mjini...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Dewji: Afrika tunaweza kutokomeza umaskini
MFANYABIASHARA maarufu hapa nchini, na Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji (CCM), amesema nchi za Afrika zina uwezo mkubwa wa kujikomboa katika lindi la umaskini iwapo sera nzuri zitatungwa na...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Dewji tajiri zaidi Afrika Mashariki
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed `Mo’ Dewji (39), amezidi kupaa kwa utajiri, kiasi cha sasa kuwa ndiye bilionea kijana zaidi katika nchi za Afrika Mashariki, lakini pia akitajwa ndiye bilionea kijana zaidi barani Afrika.
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mo Dewji anyakua tuzo ya mwaka ya mfanyabiashara anayesaidia zaidi jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa CNBC Africa, Roberta Naicker akimkabidhi tuzo ya ‘2015 Philanthropist of the year-East Africa’ Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji katika sherehe zilizofanyika hoteli ya DusitD2 jijini Nairobi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akizungumza kwenye hafla ya tuzo za All Africa Business Leaders Awards 2015 (AABLA). Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CNBC Africa, Roberta...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
9 years ago
Habarileo18 Sep
Mo Dewji ang’ara tuzo wafanyabiashara Afrika
BILIONEA anayemiliki kampuni kubwa ya Mohammed Enterprises nchini (MeTL), Mohammed Dewji ‘Mo’ ameshinda Tuzo ya Mfanyabiashara wa Mwaka anayejitoa zaidi kuisaidia jamii kunufaika, kutokana na biashara zake, akiwa mshindi wa Afrika, Kanda ya nchi za Afrika Mashariki katika tuzo zilizofanyika juzi jijini Nairobi, Kenya.