Mo Dewji ang’ara tuzo wafanyabiashara Afrika
BILIONEA anayemiliki kampuni kubwa ya Mohammed Enterprises nchini (MeTL), Mohammed Dewji ‘Mo’ ameshinda Tuzo ya Mfanyabiashara wa Mwaka anayejitoa zaidi kuisaidia jamii kunufaika, kutokana na biashara zake, akiwa mshindi wa Afrika, Kanda ya nchi za Afrika Mashariki katika tuzo zilizofanyika juzi jijini Nairobi, Kenya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Lupita ang'ara katika tuzo za wasanii
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Taylor Swift ang’ara tuzo Marekani
MWANAMUZIKI Taylor Swift ametajwa kugombea katika vipengele sita vya tuzo za muziki za American Music Awards (AMAs) za huko Marekani.
Taylor amewapiku The Weekend na Ed Sheeran, waliotajwa katika vipengele vitano, Nicki Minaj, Sam Smith
na Meghan Trainor, wametajwa mara nne ambapo Drake, Chris Brown na Fetty Wap wametajwa mara mbili.
Sherehe za utolewaji tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika Novemba 22 mwaka huu...
10 years ago
BBCSwahili18 May
Taylor Swift ang'ara tuzo za Billboards
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cqlZc62nsZg/U-w1THNmgCI/AAAAAAAAoj8/tCOF02LnIWA/s72-c/tzzz.jpg)
WAZIRI KAMANI ANG'ARA KIMATAIFA, APEWA TUZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cqlZc62nsZg/U-w1THNmgCI/AAAAAAAAoj8/tCOF02LnIWA/s1600/tzzz.jpg)
WAZIRI wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani (Pichani), amepewa Tuzo ya Utawala Bora katika kipengele cha Watendakazi Bora Serikali barani Afrika kutokana na wizara yake kuonyesha utendaji kazi wa hali ya juu.
Tuzo hizo ziliandaliwa na Kampuni ya CEO Titans Building Nations ya Afrika Kusini, ambayo imejikita katika kutambua watu na viongozi wanaofanya kazi kwa ufanisi. Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hilton jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0liTX_gsvJY/VardV-gJGXI/AAAAAAAHqbo/OUM9sHR7De4/s72-c/CKODKfbUEAAEpQl.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Ali Kiba ang’ara tuzo za muziki Tanzania 2015
Na Festo Polea
MSANII Ali Kiba anayetamba na wimbo wa ‘Mwana’ na ‘Chekecha’, ameng’ara usiku wa juzi kwa kunyakua tuzo sita za muziki Tanzania zilizotolewa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuzo alizonyakua ni wimbo bora wa Afro Pop, mtunzi bora wa mwaka Bongo Fleva, mtumbuizaji bora wa muziki wa mwaka wa kiume, mwimbaji bora wa kiume Bongo Fleva, wimbo bora wa mwaka na wimbo bora wa kushirikishwa na Mwana FA.
Katika tuzo hizo zilizoongozwa na mtangazaji wa kituo cha redio,...
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Uhuru Kenyatta ang’ara Afrika
![Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Uhuru-Kenyatta.jpg)
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
WASHINGTON, Marekani
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewapiku marais wenzake wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ufanisi wa kazi, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la Gallup la nchini Marekani.
Utafiti huo ulitolewa jana ambapo licha ya Rais Kenyatta kuwa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja ameweza kuwapiku wenzake waliodumu madarakani kwa muda mrefu.
Pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kuingoza nchi kwa mwaka wa tisa sasa utafiti huo umeshindwa...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Zitto ang’ara hifadhi ya jamii Afrika
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, ameibuka mwanasiasa wa kwanza barani Afrika kutwaa Tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii, imefahamika.