Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars yatupa karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatupa karata muhimu ya kuwang’oa Zimbabwe katika vita ya kuwania tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa Afrika za mwakani nchini Morocco....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kilimanjaro Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars leo itarusha karata yake ya pili kwenye michuano ya Kombe la Chalenji itakapomenyana na Rwanda ‘Amavubi’ mjini Awassa, Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars leo ina kibarua kigumu katika mechi dhidi ya Nigeria kwenye Michezo ya Afrika inayoendelea nchini Congo Brazzaville.

 

9 years ago

Habarileo

Karata muhimu kwa Kilimanjaro Stars leo

TIMU ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kili Stars’ leo inashuka kwenye dimba la Awassa nchini Ethiopia kuwakabili wenyeji Ethiopia ukiwa ni mchezo wa robo fainali wa kusakata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Chalenji, inayoendelea nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa Stars yatupa karata ya mwisho

WAKATI timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ikitupa karata ya mwisho kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya kampeni za fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwakani nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

Stella Jairosi: Uchaguzi huu ni ‘karata’ muhimu ya kunusuru elimu

Sera mpya ya elimu na mafunzo, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, sheria za nchi na kanuni zinazogusia elimu, vinaainisha, kuhamasisha jamii ishiriki kikamilifu katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kupata fursa ya elimu.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa

Watanzania leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 jioni bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa pingamizi la Majura

Mahakama ya Mwanzo ya Ukonga, Ilala Dar es Salaam imetoa uamuzi dhidi ya pingamizi lililowekwa na Editha Majura, dhidi ya mirathi ya Samweli Komba.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa ombi la Kubenea

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeyakataa maombi ya kusimamisha vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani