Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Spika m-serikali, Msajili m-CCM, taifa linayumba

HAKUNA siri tena kuwa taifa letu hivi sasa linapita katika kipindi kigumu cha uhaba wa ajira, umasikini na uongozi mbovu. Vyote hivi kwa kiasi kikubwa vimesababishwa na uwajibikaji dhaifu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili wa vyama afute usajili wa CCM

WAHENGA walisema “mkataa kikoa ni mchawi.” Mtu anayekataa kushirikiana na wenzake ni kama mchawi. Methali hii yatunasihi tusiwe na tabia ya kutoshirikiana na wenzetu. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dhahiri...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Spika, hutakwepa dhambi ya kulibomoa taifa

MARA mbili katika kipindi cha chini ya miaka miwili, Bunge la Tanzania limeonyesha vioja kwa kugeuka jukwaa la kutetea maslahi ya wenye nguvu – wanasiasa, wafanyabiashara wakubwa, mafisadi na wawekezaji matapeli.

Mara ya kwanza ni mwaka jana (2014), pale Bunge Maalumu la Katiba lilipoichana chana Rasimu ya Mapendekezo ya Katiba ya Tume ya Jaji Joseph Sinde Warioba, yaliyotokana na wananchi na badala yake likapandikiza chini ya usimamizi wa Spika, kwa sehemu kubwa, ibara zenye kutetea...

 

10 years ago

Vijimambo

Msajili avipiga mkwara CCM, Chadema, CUF

Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi.
Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama kurekebisha katiba zao kwenye kipengele kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama.Vyama vyenye vikosi cha ulinzi na usalama ni Chadema chenye Red Brigade, CCM (Green Guard), CUF (Blue Guard) na sasa ACT-Wazalendo (ACT Amani).Mutungi alisema uanzishwaji wa vikundi hivyo unakwenda kinyume na Katiba ya nchi inayolipa jeshi la polisi mamlaka ya...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE KUZINDUA PROGRAMU YA KULIOMBEA TAIFA, RAIS MAGUFULI


Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala akikagua Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya kongamano.



SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kesho anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Kuliombea Taifa ambayo inalenga kumshirikisha Mungu vipaumbele na sera zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili matokeo chanya yazidi kuonekana kila sekta.

Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma katika Chuo...

 

11 years ago

GPL

TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA

Mgana Izumbe Msindai – Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa akitoa tamko hilo kwenye makao makuu ya Chama Chama Mapinduzi Ofisi ndogo Lumumba jijini Dar es salaam leo,kulia ni Haji Juma Haji – Makamu Mwenyekiti Wa Wenyeviti Mikoa na kushoto ni Lucas Ole Mukusi – Katibu wa Wenyeviti Mikoa. ................................................................................................................ Sisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilipuuza ushauri wa Spika

>Kasoro zilizomo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya 2011, zimechangiwa na Serikali kupuuza mapendekezo yaliyotolewa na Ofisi ya Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa mchakato wa marekebisho ya sheria hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.

 Mhe. John Lugalema  Kahyoza akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufaa mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali mhe. Kahyoza alikuwaMsajili Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili Mkuu  wa Mahakama  mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali  Mhe. Katarina alikuwa Msajili wa Mahakama ya rufani.Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya...

 

9 years ago

Habarileo

Pazia la Spika CCM lafungwa

PAZIA la kuwania nafasi ya Spika na Naibu Spika kupitia Chama Cha Mapinduzi, limefungwa jana saa kumi jioni katika Ofisi Ndogo ya chama hicho Lumumba jijini Dar es Salaam, huku wanachama waliojitokeza kuwania nafasi hizo wakibakia wale wale 22 wa juzi.

 

9 years ago

Mtanzania

Zungu: CCM itaamua Spika wa Bunge

azani+zunguNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MBUNGE mteule wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM) amesema kwa sasa hawezi kuzungumzia mbio za kuwania Spika wa Bunge hadi chama chake kitakapotoa utaratibu.

Amesema pamoja na baadhi ya makada wenzake wa CCM kuanza kujipitisha   kuwania nafasi hiyo  kwake anaamini  CCM ndicho kitatoa utaratibu wa kupatikana spika.

Zungu alitoa kauli hiyol Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya jina la mwanasiasa huyo kutajwa katika  kuwania uspika wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani