Zungu: CCM itaamua Spika wa Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE mteule wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM) amesema kwa sasa hawezi kuzungumzia mbio za kuwania Spika wa Bunge hadi chama chake kitakapotoa utaratibu.
Amesema pamoja na baadhi ya makada wenzake wa CCM kuanza kujipitisha kuwania nafasi hiyo kwake anaamini CCM ndicho kitatoa utaratibu wa kupatikana spika.
Zungu alitoa kauli hiyol Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya jina la mwanasiasa huyo kutajwa katika kuwania uspika wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tw5G9msem18/Veh1XS8l-5I/AAAAAAAH2J0/-RFTOBVvylI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Spika na Naibu Spika wa Bunge la Burundi ikulu jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-tw5G9msem18/Veh1XS8l-5I/AAAAAAAH2J0/-RFTOBVvylI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eGNlnB2NROI/Veh1ZIk_x7I/AAAAAAAH2J8/NIRgF3nRzDQ/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ABK3HgHOxZQ/Veh1a1GrqNI/AAAAAAAH2KE/HHAr0lQdHeg/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s72-c/IMG-20150130-WA0002.jpg)
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s1600/IMG-20150130-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a_GwgNbsM6w/VMvfY2TfQ3I/AAAAAAAHAaA/DCHiWfwPOrQ/s1600/IMG-20150130-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xmCQIWhQwEY/VMvfaemnxZI/AAAAAAAHAaI/jShhLVkKjU0/s1600/IMG-20150130-WA0003.jpg)
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
GPLRAIS WA BUNGE LA SADC, SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA
10 years ago
VijimamboSPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10