Pazia la Spika CCM lafungwa
PAZIA la kuwania nafasi ya Spika na Naibu Spika kupitia Chama Cha Mapinduzi, limefungwa jana saa kumi jioni katika Ofisi Ndogo ya chama hicho Lumumba jijini Dar es Salaam, huku wanachama waliojitokeza kuwania nafasi hizo wakibakia wale wale 22 wa juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Aug
CCM kufungua pazia
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanne wafungua pazia la fomu za urais CCM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYRIHoa0Ep6iN2iD7cPF4H4Jbb7zIbkWrHt9PFGvhFN6fXWOnvkW7-QmjHOK0Dlf3VLVd4VC4hfGzgobCbBNS0l/fumaniz.jpg)
KANISA LAFUNGWA!
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Dirisha la Usajili lafungwa England
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Zungu: CCM itaamua Spika wa Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE mteule wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM) amesema kwa sasa hawezi kuzungumzia mbio za kuwania Spika wa Bunge hadi chama chake kitakapotoa utaratibu.
Amesema pamoja na baadhi ya makada wenzake wa CCM kuanza kujipitisha kuwania nafasi hiyo kwake anaamini CCM ndicho kitatoa utaratibu wa kupatikana spika.
Zungu alitoa kauli hiyol Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya jina la mwanasiasa huyo kutajwa katika kuwania uspika wa...
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Spika Makinda apandisha joto la urais CCM
EVANCE MAGEGE NA AGATHA CHARLES
Spika wa Bunge, Anne Makinda, amesema mgombea uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) anatarajiwa kuteuliwa hivi karibuni.
Amesema katika kipindi cha siku chache zijazo vikao vya uteuzi vya CCM vitaanza vikao vyake na vitahitimishwa na mkutano mkuu ambao utateua mgombea wa chama hicho.
Spika Makinda aliyasema hayo jana, wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku moja wa Maspika wa Mabuge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s72-c/8.jpg)
DK. TULIA ACKSON APITA UNAIBU SPIKA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3swUSwB8P0/Vkt7YwCR5tI/AAAAAAAArhc/ZInvMnNajls/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Dnla2W0rjc/Vkt7fLovi9I/AAAAAAAArhk/9quSU9UpU_A/s640/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddGB53TecPU/Vkt7hK8lUxI/AAAAAAAArhs/urO6OPlY0Lg/s640/10.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Naibu Spika adaiwa kumpiga mgombea CCM
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Spika m-serikali, Msajili m-CCM, taifa linayumba
HAKUNA siri tena kuwa taifa letu hivi sasa linapita katika kipindi kigumu cha uhaba wa ajira, umasikini na uongozi mbovu. Vyote hivi kwa kiasi kikubwa vimesababishwa na uwajibikaji dhaifu wa...