Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arfi atinga bungeni

WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema kuwa anaamini idadi ya wajumbe wa bunge hilo wanaorejea bungeni baada ya kususa vikao itazidi kuongezeka, Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi (Chadema) ametinga bungeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Arfi atamani Ukawa warudi bungeni

MBUNGE wa Mpanda Mjini, ambaye ni mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Said Arfi (Chadema), ameelezea matamanio yake kuona wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurudi bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni

Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amelitikisa Bunge jana baada ya kuwasilisha hoja sawa na zile zinazosimamiwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge Chadema atinga bungeni

Mjumbe mwingine wa Bunge la Katiba kutoka Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) jana alionekana kwenye Viwanja vya Bunge na alisaini za mahudhurio.

 

10 years ago

Mwananchi

Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje

Mjadala wa Bajeti ya Serikali, ambao umetawaliwa na suala la kushuka kwa thamani ya shilingi, jana ulichukua sura ya pekee baada ya mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola kuingia na begi lililojaa bidhaa mbalimbali kutoka nje ambazo alizitumia kuthibitisha matumizi yasiyostahili ya fedha za kigeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto atinga bungeni, aomba ushauri kwa spika

Dodoma. Siku tisa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kumvua uanachama, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitinga bungeni na kufanya kikao cha siri na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa zaidi ya saa moja.

 

11 years ago

Michuzi

YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAULE

 Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola  akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo Juni 11, 2014.  Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola akivua bango alilokuwa ameva wakati akiomba kura kwa wabunge za kuwania kuteuliwa kuwa  Mjumbe wa Tume ya  Utumishi  Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni11, 2014. Aliamriwa kuvua bango hilo na Spika wa Bunge Anne Makinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Arfi awageuka wapinzani


NA RASHID ZAHOR, DODOMA
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (CHADEMA), juzi aliishangaza kambi ya upinzani bungeni baada ya kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya Serikali, kwa mwaka wa fedha 2014/ 2015.
Arfi, ambaye aliwahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, alikuwa mmoja wa wabunge wanne wa upinzani waliopiga kura ya kuunga mkono bajeti hiyo na kushangiliwa kwa nguvu na wabunge wa CCM.
Wabunge wengine wa upinzani waliopiga kura ya kupitisha bajeti hiyo ni John Cheyo (Bariadi...

 

11 years ago

Habarileo

Baada ya Zitto, Arfi achokozwa

 Said ArfiMGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema umeendelea hatua kwa hatua kwa makada wa chama hicho wanaopinga uongozi wa Mwenyekiti, Freeman Mbowe, kuadhibiwa mmoja baada ya mwingine ambapo sasa imefika zamu ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Said Arfi.

 

11 years ago

Mwananchi

Arfi: Lissu aache kukurupuka

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kuacha kukurupuka na kutamka mambo ambayo bado hayajatolewa uamuzi na vikao vya chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani