Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arfi awageuka wapinzani


NA RASHID ZAHOR, DODOMA
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (CHADEMA), juzi aliishangaza kambi ya upinzani bungeni baada ya kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya Serikali, kwa mwaka wa fedha 2014/ 2015.
Arfi, ambaye aliwahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, alikuwa mmoja wa wabunge wanne wa upinzani waliopiga kura ya kuunga mkono bajeti hiyo na kushangiliwa kwa nguvu na wabunge wa CCM.
Wabunge wengine wa upinzani waliopiga kura ya kupitisha bajeti hiyo ni John Cheyo (Bariadi...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwingine awageuka wanaodai posho zaidi Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba anayewakilisha kundi la wafanyakazi, Dotto Mashaka ametofautiana na wabunge wenzake na kusikitishwa na kelele zilizoibuka hivi karibuni za wabunge kulilia posho kuongezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Arfi atinga bungeni

WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema kuwa anaamini idadi ya wajumbe wa bunge hilo wanaorejea bungeni baada ya kususa vikao itazidi kuongezeka, Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi (Chadema) ametinga bungeni.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Arfi aitishia ‘nyau’ Chadema

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.

“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo...

 

11 years ago

Mwananchi

Arfi: Lissu aache kukurupuka

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kuacha kukurupuka na kutamka mambo ambayo bado hayajatolewa uamuzi na vikao vya chama.

 

11 years ago

Habarileo

Baada ya Zitto, Arfi achokozwa

 Said ArfiMGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema umeendelea hatua kwa hatua kwa makada wa chama hicho wanaopinga uongozi wa Mwenyekiti, Freeman Mbowe, kuadhibiwa mmoja baada ya mwingine ambapo sasa imefika zamu ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Said Arfi.

 

10 years ago

Habarileo

Arfi wa Chadema aibukia CCM

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi, akizungumza na waandishi wa habari.MBUNGE wa jimbo la Mpanda Mjini kwa miongo miwili, Said Amour Alfi (Chadema) amejiunga rasmi na CCM. Amekuwa miongoni mwa makada 23 wa chama hicho, waliochukua na kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Arfi kupinga Bunge la Katiba mahakamani

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi

Na Elizabeth Hombo, Dodoma

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amesema ana mpango wa kwenda mahakamani ili kupata ufafanuzi wa mahakama juu ya uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tu baada ya mwandishi wa habari, Said Kubenea chini ya wakili, Peter Kibatala kufungua kesi mahakamani kutaka Bunge la Katiba lisitishwe.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mpendazoe ataka kumrithi Arfi Chadema

Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chadema, Fred Mpendazoe amejitokeza kuwania nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA kuwatosa Shibuda, Arfi, Leticia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa kitawafukuza wabunge wake, John Shibuda (Maswa Magharibi), Said Arfi (Mpanda Mjini) na Leticia Nyerere (Viti Maalum) baada ya kujiridhisha kwamba wameshiriki vikao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani