Baada ya Zitto, Arfi achokozwa
MGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema umeendelea hatua kwa hatua kwa makada wa chama hicho wanaopinga uongozi wa Mwenyekiti, Freeman Mbowe, kuadhibiwa mmoja baada ya mwingine ambapo sasa imefika zamu ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Said Arfi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Baada ya kufukuzwa, Zitto aigawa mitandao ya kijamii
Mitandao ya kijamii imeanza kuchukua nafasi na hata kuwa sehemu ya maisha ya kawaida, watumiaji wake hupata taarifa mbalimbali na pia nafasi ya kuanzisha mijadala motomoto.
11 years ago
GPL06 Jan
11 years ago
GPL06 Jan
KUTOKA MAHAKAMA KUU BAADA YA HUKUMU YA PINGAMIZI LA ZITTO KUAIRISHWA
Baadhi ya wanachama wa Chadema wakitoa maoni yao baada ya hukumu ya pingamizi la Zitto Kabwe kuairishwa katika Mahakama Kuu jijini Dar mpaka kesho saa nane mchana. (Video na Jelard Lucas / GPL)
11 years ago
GPL08 Jan
MWANASHERIA WA ZITTO KABWE, ALBERT MSANDO AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU
(Video: Jelard Lucas / GPL)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TVx34PMBv9gHvuUHnxkqFsZwX3YfP4bHNYvvGLHy6DiP187hnF59cISX7fHdxfV6LdPodV4Dwqnz3BXYGm0mD9G/ZITOFB.jpg)
MARA BAADA YA MUHONGO KUJIUZULU NA JK KUTEUA WAPYA, ZITTO ATOA YA MAYONI!
Hiki ndicho alichokiandika Mhe. Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Face Book mara baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter muhongo kutangaza kujiuzulu mapema leo. Na hiki ndicho alichokiandika mara baada ya uteuzi wa Mawaziri na manaibu Mawaziri…
11 years ago
GPL08 Jan
TUNDU LISSU NA PETER KIBATARA WAKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA HUKUMU YA ZITTO
Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe Tundu Lissu akiwa na Mwanasheria wa chama hicho, Peter Kibatara wakiongea na wanahabari baada ya hukumu ya kesi ya Zitto Kabwe jana Januari 7, 2014.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xhhv-eiYr1Q/VQFLvY6zejI/AAAAAAAAJvY/Y5cY9c5C8b0/s72-c/11.jpg)
Uliona alichoandika Naibu waziri wa fedha mh.Mwigulu Nchemba baada ya kupokea taarifa ya kufutwa uanachama Zitto Z.Kabwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-xhhv-eiYr1Q/VQFLvY6zejI/AAAAAAAAJvY/Y5cY9c5C8b0/s640/11.jpg)
Nakusihi kijana...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB19 Mar
VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3509&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
11 years ago
Uhuru Newspaper25 Jun
Arfi awageuka wapinzani
NA RASHID ZAHOR, DODOMA
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (CHADEMA), juzi aliishangaza kambi ya upinzani bungeni baada ya kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya Serikali, kwa mwaka wa fedha 2014/ 2015.
Arfi, ambaye aliwahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, alikuwa mmoja wa wabunge wanne wa upinzani waliopiga kura ya kuunga mkono bajeti hiyo na kushangiliwa kwa nguvu na wabunge wa CCM.
Wabunge wengine wa upinzani waliopiga kura ya kupitisha bajeti hiyo ni John Cheyo (Bariadi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania