Baada ya kufukuzwa, Zitto aigawa mitandao ya kijamii
Mitandao ya kijamii imeanza kuchukua nafasi na hata kuwa sehemu ya maisha ya kawaida, watumiaji wake hupata taarifa mbalimbali na pia nafasi ya kuanzisha mijadala motomoto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
Nguvu ya mitandao ya kijamii hususan Facebook, Twitter na forums mbalimbali, inafahamika kwa kusababisha mashinikizo makubwa kwenye serikali nyingi duniani. Mfano hai ni jinsi mitandao hiyo ilivyopelekea idara ya uhamiaji kusitisha ajira zake. “Uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani kusitisha ajira ya idara ya uhamiaji ni hekima sana. Hii pia inaonyesha nguvu ya social […]
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
Kwani mtindo wa nywele au ushungi wa mtu unasema chochote kuhusu tabia au mwenendo wa mtu huyo?
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikipamba moto majukwaani, matumizi ya mitandao ya kijamii imeshika kasi kwa makundi na watu binafsi kuitumia kuwanadi wagombea wao.
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya uandishi wa habari.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga amesema mitandao ya kijamii kama vile Whatsapp, Facebook na Instagram imesaidia kupunguza ajali.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-nVd6D5O3TK4/VFpxCgJnpQI/AAAAAAAGvqE/ulDVmljibuc/s1600/1415213231614_Screenshots.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlpaaPAZkwrTcDrIfiLleMNIblewrpv5pZVjD9jjWHLt9yiOKI8f7s2hs5FAZUm2YpFxfil6xWp7-rTKx1QDnCXb/LULU4.jpg?width=650)
PICHA ZA LULU ZATIKISA MITANDAO YA KIJAMII
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta 'Lulu' akiwa katika mapozi tofauti baada ya kuachia picha hizi kupitia account yake ya Instagram siku ya jana na kupelekea kutikisa katika mitandao ya kijamii huku wapenzi wake wakimuita Kim Kardashian wa bongo.…
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Twaweza yawagonganisha watumiaji mitandao ya kijamii
Siku moja baada ya Taasisi ya Twaweza kutoa matokeo ya utafiti unaoonyesha kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, imeibua mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa wagombea hao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania