PICHA ZA LULU ZATIKISA MITANDAO YA KIJAMII
![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlpaaPAZkwrTcDrIfiLleMNIblewrpv5pZVjD9jjWHLt9yiOKI8f7s2hs5FAZUm2YpFxfil6xWp7-rTKx1QDnCXb/LULU4.jpg?width=650)
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta 'Lulu' akiwa katika mapozi tofauti baada ya kuachia picha hizi kupitia account yake ya Instagram siku ya jana na kupelekea kutikisa katika mitandao ya kijamii huku wapenzi wake wakimuita Kim Kardashian wa bongo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Afuata Nyayo za Wema, Ahamasisha Matumizi Bora ya Mitandao ya Kijamii
Staa mrembo kutoka Bongo movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii kujengana zaidi ikiwa ni siku chake baada ya staa mwenzake, Wema Sepetu kuwataka wanawake na jamii kwa ujumla kutumia mitando hiyo kuhamasishana kwenye vitu vya kimaendeleo zaidi.
“Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo,mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali najua mawazo yangu pekeyangu yanaweza yasitoshe mimi kufika...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Picha za x zatikisa ndoa ya kigogo!
Aibu ilioje! Picha chafu za ngono ‘X’ za mrembo aliyetajwa kwa jina moja la Mariam, mkazi wa Kinondoni jijini Dar, zinadaiwa kuitikisha ndoa ya kigogo wa sekta nyeti ya fedha baada ya kunaswa kwenye simu yake na mkewe aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, wote wakazi wa jijini Arusha.
Kwa mujibu wa Aneth, picha hizo zimeacha mpasuko mkubwa kwenye ndoa yao kwa kuwa mara nyingi amekuwa akimhisi mumewe kutokuwa mwaminifu huku safari za Dar zikiwa hazikauki.
Alisema kuwa, amekuwa akifuma...
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
OMIS yaanzisha tuzo za mitandao ya kijamii
KAMPUNI ya ‘Opt Media Information Solutions (OMIS),’ kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeanzisha tuzo za mitandao ya kijamii inayofanya vizuri nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Mkuu wa kampuni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgZ*nCqxI-9ounWrrenPTtZVakbIbdNIMmYWBLSNtDqMjcwqyMegsA8BD*Mm-mI4jvCMqiE6ktqfqZw5XOd7ShZu/MAHABA.jpg?width=650)
MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWAUMIZA MIOYO WAPENDANAO