Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha za x zatikisa ndoa ya kigogo!

IMG-20151126-WA0015

Aibu ilioje! Picha chafu za ngono ‘X’ za mrembo aliyetajwa kwa jina moja la Mariam, mkazi wa Kinondoni jijini Dar, zinadaiwa kuitikisha ndoa ya kigogo wa sekta nyeti ya fedha baada ya kunaswa kwenye simu yake na mkewe aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, wote wakazi wa jijini Arusha.

Kwa mujibu wa Aneth, picha hizo zimeacha mpasuko mkubwa kwenye ndoa yao kwa kuwa mara nyingi amekuwa akimhisi mumewe kutokuwa mwaminifu huku safari za Dar zikiwa hazikauki.

Alisema kuwa, amekuwa akifuma...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NDOA ZA WAZEE ZATIKISA MOROGORO

Dustan Shekidele, Morogoro  SHANGWE! Katika tukio linalotokea kwa nadra, wazee kumi ambao wameishi kinyumba kwa miaka mingi,Jumamosi iliyopita walibariki ndoa zao katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica, lililopo Tungi mkoani Morogoro, huku zoezi hilo likitikisa kila kona ya mjini hapa.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1U2ZWZC

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA LULU ZATIKISA MITANDAO YA KIJAMII

Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta 'Lulu' akiwa katika mapozi tofauti baada ya kuachia picha hizi kupitia account yake ya Instagram siku ya jana na kupelekea kutikisa katika mitandao ya kijamii huku wapenzi wake wakimuita Kim Kardashian wa bongo.…

 

10 years ago

GPL

UKWELI PICHA NDOA YA DIAMOND NA ZARI

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ katika pozi. Musa Mateja Kutafuta kiki? Wikiendi iliyopita, gumzo kubwa katika mitandao ya kijamii lilikuwa ni kuhusu stori ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufunga ndoa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ lakini Ijumaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli za viongozi zatikisa nchi

>Kauli kama “kutumia Sh10 milioni kununulia mboga” na ile maarufu ya “vijisenti”, zimetikisa nchi katika siku za karibuni na kuibua hisia tofauti, lakini waliotoa kauli hizo ni sehemu tu ya orodha ndefu ya viongozi wa umma waliowahi kutoa maneno yaliyoibua maoni tofauti.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Seki wa Original Komedi afunga ndoa

Jamaa aliye nyuma ya mafanikio ya kundi la Original Komedi, Seki, amefunga ndoa weekend hii. Harusi yake ilihudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wakiwemo waigizaji wa OK. Hizi ni baadhi ya picha. Masanja akiwa na Bi. Harusi Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Barack na Michelle Obama washerehekea miaka 23 ya ndoa

Ni miaka 23 tangu Rais wa Marekani, Barack Obama afunge ndoa na mke wake, Michelle. Obama na First Lady waliofunga ndoa October 3, 1992 kwenye kanisa la Trinity jijini Chicago, walisherehekea miaka hiyo ya ndoa yao Jumamosi. Kupitia Twitter, Obama aliandika: Twenty-three years and still going strong. Here's to many more. #HappyAnniversary pic.twitter.com/EdEvqUF0s7 — Barack […]

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE SHEREHE YA MIAKA 25 YA NDOA YA AMOS NA JESSICA MUSHALA

IMG_9718Bw.Mshala akipongezwa na Mama Kassembe. IMG_9733Mama Mushala akipongezwa na Meya. IMG_9716Bw.Mushala akipongezwa na Imma. IMG_9591Bi.Asha Nyang'anyi. IMG_9700Mr&Mrs Imanuel Bandawe a.k.a "The Boss" IMG_9635MaWinny Casey mwanzilishi wa Miss Tanzania USA akiwa na Rais wa Jumuiya ya watanzania DMV Bw.Iddy Sandaly. IMG_9596Wapendanao Lovenness na ubani wake. IMG_9675Bw.David na ubavu wake. IMG_9686Kwa furaha Bw.Tumaini na mkewe Bi. Tumaini. IMG_9689Bw.Vikta na mkewe Bi.Eda. IMG_9690Bw.Tino Malinda na mkewe Mary Mgawe.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
IMG_9625Jessica na Amos Mushala...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi

Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika

"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu afunga ndoa na Luis Munana wa Namibia, ni movie tena?

Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi kadhaa iliyopita kufunga ndoa kwenye movie na JB, Wema anaonekana kufanya movie nyingine tena ambayo anaishia kuwa mke wa mtu – at least kwa inavyoonekana kwenye Instagram. Awamu hii japo hajaweka wazi kama ni movie, Wema ameonekana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani