Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arfi: Lissu aache kukurupuka

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kuacha kukurupuka na kutamka mambo ambayo bado hayajatolewa uamuzi na vikao vya chama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KURA YA NDIYO: Lissu: Arfi ni mpinzani jina

>Mwanasheria  wa Chadema, Tundu Lissu amesema kitendo cha makamu mwenyekiti wa zamani wa chama hicho, Said Arfi kupiga kura ya ‘ndiyo’ kuunga mkono Bajeti ya Serikali kimedhihirisha kuwa mbunge huyo sasa ni mpinzani jina.

 

5 years ago

Michuzi

WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed na Robart Katula wamefungua maombi  katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba itolewe amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo kwa kuwa wao wameshindwa kumpata.
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tatizo ni kukurupuka bila mipango

TIMU ya Tanzania iliyoenda kushiriki michuano ya Afrika maarufu kama ‘All African Games’ imereje

Winfrida Mtoi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali isifanye kazi kwa kukurupuka

MASAIBU yanayowasibu wananchi yanatokana na serikali kufanya kazi zake kwa kukurupuka kabla ya kufanya tathmini kisha kutofuatilia utekelezaji wake. Tabia hii huwakwaza wananchi na kuilaumu mara kwa mara. Utaratibu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi, mipango ya kukurupuka inavyoua elimu

Elimu ya sekondari ni kiini cha maendeleo katika elimu ya sayansi na teknolojia, ambapo wananchi wanaweza kumudu mazingira yao na kuchangia maendeleo ya taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.

 

10 years ago

Mwananchi

Slaa: Rais Kikwete aache visingizio

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuacha kutafuta visingizio na kuacha taifa lielekee pabaya katika mchakato wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuvunjwa kituo cha Ubungo ni ama kukurupuka au makusudi

Kuna mambo yanatokea katika nchi hii ambayo ni ya aibu na kuumiza. Mambo hayo yanafanya mtu ujiulize jee hapa wahusika walitekeleza jambo husika kwa kukurupuka kwa sababu ya kutokujua au wamefanya kusudi?

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.

Afande-Sele-nzuri_full

Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.

“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani