Arfi: Lissu aache kukurupuka
Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kuacha kukurupuka na kutamka mambo ambayo bado hayajatolewa uamuzi na vikao vya chama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jun
KURA YA NDIYO: Lissu: Arfi ni mpinzani jina
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%2BTundu.jpg)
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU
![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%2BTundu.jpg)
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Tatizo ni kukurupuka bila mipango
TIMU ya Tanzania iliyoenda kushiriki michuano ya Afrika maarufu kama ‘All African Games’ imereje
Winfrida Mtoi
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Serikali isifanye kazi kwa kukurupuka
MASAIBU yanayowasibu wananchi yanatokana na serikali kufanya kazi zake kwa kukurupuka kabla ya kufanya tathmini kisha kutofuatilia utekelezaji wake. Tabia hii huwakwaza wananchi na kuilaumu mara kwa mara. Utaratibu wa...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Uamuzi, mipango ya kukurupuka inavyoua elimu
11 years ago
Habarileo23 Feb
Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Slaa: Rais Kikwete aache visingizio
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Kuvunjwa kituo cha Ubungo ni ama kukurupuka au makusudi
9 years ago
Bongo526 Nov
Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/02/Afande-Sele-nzuri_full-200x128.jpg)
Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.
Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.
“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...