Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo ni kukurupuka bila mipango

TIMU ya Tanzania iliyoenda kushiriki michuano ya Afrika maarufu kama ‘All African Games’ imereje

Winfrida Mtoi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi, mipango ya kukurupuka inavyoua elimu

Elimu ya sekondari ni kiini cha maendeleo katika elimu ya sayansi na teknolojia, ambapo wananchi wanaweza kumudu mazingira yao na kuchangia maendeleo ya taifa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Bila mipango makini, ‘uendawazimu’ utadumu

NYOTA wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Hendrick Johannes Cruijiff, maarufu kama Johan Cruy

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

GPL

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI BADO NI TATIZO

Dereva bodaboda akiwa mikononi mwa polisi baada ya kuwakimbia na baadaye kunaswa. Dereva huyo akiwa chini ya ulinzi. DOGO mmoja ambaye ni dereva wa bodaboda amejikuta akimaliza siku vibaya baada ya kukiuka sheria za usalama barabarani na kuwakimbia polisi ambao walimtolea uvivu kwa kumkimbiza na baadaye kufanikiwa kumtia mikononi. (Picha zote na Gabriel… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hakuna tatizo la ajira nchini bali fikira bila tafakuri

KWA sasa kilio kilichotanda nchini ni cha ukosefu wa ajira. Vijana wengi, hasa wanaomaliza elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, wanalia na wanachokiita ukosefu wa ajira. Wao wanataka wakimaliza masomo...

 

9 years ago

Press

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.

SONY DSC

SONY DSC

Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.

Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Arfi: Lissu aache kukurupuka

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kuacha kukurupuka na kutamka mambo ambayo bado hayajatolewa uamuzi na vikao vya chama.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali isifanye kazi kwa kukurupuka

MASAIBU yanayowasibu wananchi yanatokana na serikali kufanya kazi zake kwa kukurupuka kabla ya kufanya tathmini kisha kutofuatilia utekelezaji wake. Tabia hii huwakwaza wananchi na kuilaumu mara kwa mara. Utaratibu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuvunjwa kituo cha Ubungo ni ama kukurupuka au makusudi

Kuna mambo yanatokea katika nchi hii ambayo ni ya aibu na kuumiza. Mambo hayo yanafanya mtu ujiulize jee hapa wahusika walitekeleza jambo husika kwa kukurupuka kwa sababu ya kutokujua au wamefanya kusudi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani