Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali isifanye kazi kwa kukurupuka

MASAIBU yanayowasibu wananchi yanatokana na serikali kufanya kazi zake kwa kukurupuka kabla ya kufanya tathmini kisha kutofuatilia utekelezaji wake. Tabia hii huwakwaza wananchi na kuilaumu mara kwa mara. Utaratibu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali isifanye mambo kwa dharura

Mojawapo ya mambo yanayoisumbua jamii yetu kwa siku za karibuni ni Serikali kufanya mambo yake kwa dharura.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali isifanye mambo kwa mtindo wa zimamoto

>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ametangaza hatua ambazo Serikali imekusudia kuzichukua dhidi ya taasisi zote zilizosajiliwa kwenye wizara yake akisema zimekuwa zikikiuka malengo ya kuanzishwa kwake na kufanya mambo tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Kazi ya kubomoa si ya kukurupuka-Prof Tibaijuka

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema tayari imeweka mabango katika maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya wazi vilivyovamiwa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza na gazeti hili alisema mabango hayo yaliyowekwa ni kuwataka wakazi waliovamia viwanja vya wazi kuondoka mara moja. Profesa Tibaijuka alisema kuwa bomoabomoa itafanyika katika maeneo hayo hivyo ni vyema wanaojijua kuwa wamevamia wakaondoka mapema.

 

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yafanyia kazi pensheni kwa wazee

SERIKALI imesema kuwa Mpango wa Pensheni kwa Wazee nchini, haujaanza kutekelezwa kutokana na kutokamilika kwa maandalizi.

 

5 years ago

Michuzi

MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana,...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yaonya watumishi wanaofanya kazi kwa mazoea.

Na Wilson Elisha,

Magu Mwanza.

 

Serikali imewaonya watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wawajibike kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi.

 

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ametoa onyo hilo wilayani Magu wakati akizungumza na watumishi wa sekta mbalimbali ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa ziara yake mkoani Mwanza.

 

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mlongo wakati akizungumza na watumishi wa wilaya ya Magu.

 

Amesema Serikali haiwezi...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataka vijana kuchapa kazi kwa bidii

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante ole GabrielSERIKALI imewataka vijana kuchapa kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii wanazoishi ikizingatiwa kwamba asilimia 75 ya nguvu kazi ya taifa ni vijana.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano uliojengwa na TTCL kwenye kijiji cha Maleza kilichopo kata ya Mbangala mkoani Songwe. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Samwel Jeremia
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani