Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Serikali isifanye mambo kwa mtindo wa zimamoto

>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ametangaza hatua ambazo Serikali imekusudia kuzichukua dhidi ya taasisi zote zilizosajiliwa kwenye wizara yake akisema zimekuwa zikikiuka malengo ya kuanzishwa kwake na kufanya mambo tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali isifanye mambo kwa dharura

Mojawapo ya mambo yanayoisumbua jamii yetu kwa siku za karibuni ni Serikali kufanya mambo yake kwa dharura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali isifanye kazi kwa kukurupuka

MASAIBU yanayowasibu wananchi yanatokana na serikali kufanya kazi zake kwa kukurupuka kabla ya kufanya tathmini kisha kutofuatilia utekelezaji wake. Tabia hii huwakwaza wananchi na kuilaumu mara kwa mara. Utaratibu wa...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI KUTOA AJIRA ZAIDI YA 4000 KWA POLISI, MAGEREZA, UHAMIAJI NA ZIMAMOTO

  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imetangaza ajira zaidi ya 4,400 kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini.

Serikali Kutoa Ajira Zaidi ya 4000 kwa Polisi, Magereza, Uhamiaji, ZimamotoAkiwasilisha makadirio ya bajeti ya mwaka 2020/21, Waziri wa wizara hiyo, George Simbachawene, alisema ajira hizo zitakwenda pamoja na mafunzo mbalimbali kwa askari na watumishi mbalimbali.
Alisema kwa mwaka huo, Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri askari 2,725, askari Magereza 685, Uhamiaji 495 na Zimamoto...

 

10 years ago

Michuzi

ZIMAMOTO WA JIJI LA LINZ, AUSTRIA WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi akiongoza kikao wakati Viongozi wa Kikosi cha Zimamoto toka Jiji la Linz, Austria walipotembelea Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Jiji la Linz, Austria Christian Puchner, akimkabidhi Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi mojawapo ya kofia za zimamoto zilizotolewa kama msaada kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji la Tanzania....

 

5 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU ZIMAMOTO KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Victor Mwambalaswa wakati wakitoka kukagua Jengo la Makao makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima....

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi

>Jana katika tovuti hii tulitoa habari iliyowakariri viongozi wa dini wakionyesha kukerwa na vitendo vya ufisadi, wizi, uzembe ikiwamo kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI

Gwaride la Wahitimu wa Mafunzo yaKozi ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji likipita mbele ya mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo hayo katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Uongozi wa Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji pamoja na Maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakati alipowasili...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AZINDUA BARAZA DOGO LA WAFANYAKAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MJINI BAGAMOYO LEO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto) akizungumza na wajumbe wa Baraza Dogo la Wafanyakazi la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kabla ya kulizindua Baraza hilo katika Hoteli ya Livingstone mjini Bagamoyo leo. Katika hotuba yake, Abdulwakil aliwataka viongozi wakuu wa jeshi hilo kushirikiana kikamilifu na watumishi wote ili kuleta mabadiliko chanya ndani ya jeshi hilo. Wapili kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi hilo, Pius Nyambacha, Kulia ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali iachane na mipango ya zimamoto katika elimu

Septemba 11 na 12 mwaka jana, wanafunzi 844,938 walifanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba. Kati yao 427,609 walifaulu kwa daraja A mpaka C. Wanafunzi waliokuwa wamesajiliwa kufanya mtihani huo walikuwa 867,983.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani