Arfi wa Chadema aibukia CCM
MBUNGE wa jimbo la Mpanda Mjini kwa miongo miwili, Said Amour Alfi (Chadema) amejiunga rasmi na CCM. Amekuwa miongoni mwa makada 23 wa chama hicho, waliochukua na kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Masha amkimbia Wenje, amvaa Ngeleja, Arfi aibukia CCM
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Arfi aitishia ‘nyau’ Chadema
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.
“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Mpendazoe ataka kumrithi Arfi Chadema
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
CHADEMA kuwatosa Shibuda, Arfi, Leticia
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa kitawafukuza wabunge wake, John Shibuda (Maswa Magharibi), Said Arfi (Mpanda Mjini) na Leticia Nyerere (Viti Maalum) baada ya kujiridhisha kwamba wameshiriki vikao...
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Fred Mpendazoe kumrithi Arfi Umakamu Chadema Bar?
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe amejitokeza kuwania nafasi ya Makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Mpendazoe ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Kishapu kupitia CCM kabla ya kujiuzulu wadhifa huo na kujiunga na Chadema ametangaza msimamo wake akisema kuwa atasimamia ajenda...
10 years ago
MichuziMbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA
akizungumza na waandishi wa habari.
Picha ya maktaba.Akizungumza mjini Mpanda katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, jana Mhe Saidi Arfi aliwaeleza wananchi wa Mpanda kuwa uanachama wake ndani ya CHADEMA utakoma mara tu baada ya kuvunjwa Bunge Julai 9.Pia, alitumia mkutano huu kuwaaga wananchi wa jimbo hilo akisema hatagombea tena nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka kumi. Mhe. Arfi alifafanua kuwa hayuko tayari...
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Mongela aibukia Chadema
![Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Getrude-Mongella.jpg)
Kada wa CCM, Balozi Getrude Mongella, akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Hawa Mwaifunga (kulia), wakati wa ufunguzi wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Gertrude Mongela, ameibukia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAWACHA), na kueleza kwamba wanawake...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASALIMIANA NA ALIYEKUWA MBUNGE WA MPANDA KATI KWA CHAMA CHA CHADEMA MH.ARFI
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Nkumba arejea CCM, aibukia uzinduzi wa Magufuli