Nkumba arejea CCM, aibukia uzinduzi wa Magufuli
Aliyekuwa Mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba ambaye alihamia Chadema hivi karibuni ameamua kurejea katika chama chake cha zamani kwa madai alikosea njia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Said Nkumba ahama CCM, ajiunga Chadema
9 years ago
VijimamboMAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU CCM YAKAMILIKA, MAGUFULI, SAMIA KUUNGURUMA JANGWANI KESHO
Na Dotto Mwaibale
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Magufuli aibukia Wizara ya Fedha, akosa maofisa ofisini
10 years ago
Habarileo21 Jul
Arfi wa Chadema aibukia CCM
MBUNGE wa jimbo la Mpanda Mjini kwa miongo miwili, Said Amour Alfi (Chadema) amejiunga rasmi na CCM. Amekuwa miongoni mwa makada 23 wa chama hicho, waliochukua na kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgc9peNSgVMtahVgZzGYtY2sFYvVlGwM*JQP5lc9FrWdAbeTIt7eIN3pm7c7ANrE8hipOVMxlyhNs0T9V9FDS6H/EdwardSokoine.jpg)
SOKOINE AREJEA NCHINI NDANI YA JOHN MAGUFULI
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Masha amkimbia Wenje, amvaa Ngeleja, Arfi aibukia CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6y27Sfx_K3g/VCjFwEvj-qI/AAAAAAAARjg/VWEkiwxxuBY/s72-c/15.jpg)
KAGONJI AREJEA CCM
Mzee Charles Kagonji arudi CCM Uongozi mzima wa Jimbo la Mlalo warudi CCMKinana awapokea kwa mikono miwili
![](http://3.bp.blogspot.com/-6y27Sfx_K3g/VCjFwEvj-qI/AAAAAAAARjg/VWEkiwxxuBY/s1600/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1AuRZzHC56s/VCjFv2To1uI/AAAAAAAARjY/qFZAM6FXN44/s1600/16.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S4FNTAwxH6w/U8Wa_ZjCgCI/AAAAAAAF2kk/vg7Zv_T7HpU/s72-c/unnamed+(7).jpg)
DKT.MAGUFULI AIBUKIA MKOA WA NJOMBE, ASISITIZA BARABARA ZA KWENDA LIGANGA ZIKAMILIKE NDANI YA MUDA ULIOPANGWA
10 years ago
Habarileo29 Sep
Kagonji ahama Chadema, arejea CCM
ALIYEWAHI kugombea ubunge wa Mlalo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2005, Charles Kagonji amekihama chama hicho na kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).