UNECA: Tanzania isiagize bidhaa nje
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
OFISA wa Umoja wa Mataifa Kitengo cha Uchumi Afrika (UNECA), Hopestone Chavula, ameishauri Tanzania kuzalisha bidhaa zenye viwango ili kukwepa kuagiza vitu kutoka nje ya nchi.
Ushauri huo ameutoa jijini hapa jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa maendeleo ya viwanda na biashara Afrika kwa mwaka huu iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar es Salaam Convention Center.
Chavula alisema watu wengi wamekuwa wakiamini bidhaa zenye ubora ni zile zinazozalishwa nje...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.-1-768x512.jpg)
MANYANYA AAGIZA BIDHAA ZA SAMAKI ZOTE ZINAZIUZWA NJE YA NCHI KUWEKEWA ALAMA ILI KUONYESHA KUWA ZINATOKA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s640/2.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3.-1024x683.jpg)
Wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata samaki cha Tanzania Fish Processors Ltd wakiendelea na kazi ya uchakataji wa samakiwanaosafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali
Picha na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima
11 years ago
Mwananchi01 May
Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-35-2048x1365.jpg)
TUZALISHE KWA WINGI BIDHAA TULIZOKUWA TUNAAGIZA KUTOKA NJE: PROF SHEMDOE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s640/1-35-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-26-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo kuhakikisha viwango vya bidhaa zinazalishwa ndani na nje ya nchi
*Miradi ya Ujenzi mbalimbali wa Serikali unatumia bidhaa za Viwanda vya ndani kutokana Viwango kufikiwa
Na Ripota wetu-Michuzi TV.
Kitengo Cha Uhandisi wa Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kimesema kuwa Nondo, Bati na Misumari na bidhaa zingine za kiuhandisi zimekuwa na viwango na kukubalika katika Kanda mbalimbali
Akizungumza na michuzi Tv Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa TBS Joseph Mwaipaja amesema kuwa tangu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s1600/Untitled.vpng.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s72-c/New+Picture+(6).png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s1600/New+Picture+(6).png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...