Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya
Taasisi ya Kimataifa ya uangalizi wa masuala ya kiuchumi (BMI) imeonyesha hofu iwapo Tanzania inaweza kusimamia uchumi wake kukua kwa asilimia 7.3 mwaka huu, hasa kutokana na kushuka kwa uuzaji wa bidhaa nje ya nchi na kuongezeka kwa ununuaji wa bidhaa kutoka nje yakiwamo magari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Dk Kigoda: Sheria za usafirishaji ziangaliwe upya
SERIKALI imesema ipo haja ya kuangalia baadhi ya sheria zilizowekwa katika sekta ya usafirishaji kwa kuwa nyingi ya sheria hizo zinafaidisha nchi jirani. Akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mizengo...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mtalaa usafirishaji bidhaa wazinduliwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gAweXJ-hSC0/XqFyooHoxuI/AAAAAAALn-U/Wdyawl35w6AZumtnH-xo__knI6xJ94s-wCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NCHI ZA SADC ZATOA MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAweXJ-hSC0/XqFyooHoxuI/AAAAAAALn-U/Wdyawl35w6AZumtnH-xo__knI6xJ94s-wCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
23 APRILI, 2020, DODOMATarehe 6 Aprili, 2020 ulifanyika Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mkutano huo ulijadili janga la mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) unaosababishwa na virusi vya Corona. Mkutano huo ulihusisha Mawaziri wenye dhamana ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mwa Afrika (SADC), ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi Akizungumza katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo Nje, Mambo ya Ndani, Fedha na Mipango, Viwanda na Utalii wa SADC, kuhusu mwenendo wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
BARAZA LA MAWAZIRI SADC, LARIDHIA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU, KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2.jpeg)
5 years ago
MichuziNdege ya mizigo kuimarisha usafirishaji samaki nje ya nchi
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema mipango ya Serikali kununua ndege ya mizigo utaimarisha usafirishaji wa minofu ya samaki moja kwa moja kwenda nje ya nchi kutokea uwanja wa ndege wa Mwanza.
Waziri Kamwelwe ameyasema hayo Jumatatu Juni Mosi 2020 jijini Mwanza wakati akifungua mkutano wa kupokea mikakati ya pamoja kuondoa vikwazo na kufanikisha biashara ya usafirishaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi hususani mataifa ya Ulaya ambako kumekuwa na...
9 years ago
Mtanzania26 Sep
UNECA: Tanzania isiagize bidhaa nje
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
OFISA wa Umoja wa Mataifa Kitengo cha Uchumi Afrika (UNECA), Hopestone Chavula, ameishauri Tanzania kuzalisha bidhaa zenye viwango ili kukwepa kuagiza vitu kutoka nje ya nchi.
Ushauri huo ameutoa jijini hapa jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa maendeleo ya viwanda na biashara Afrika kwa mwaka huu iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar es Salaam Convention Center.
Chavula alisema watu wengi wamekuwa wakiamini bidhaa zenye ubora ni zile zinazozalishwa nje...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje