NCHI ZA SADC ZATOA MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAweXJ-hSC0/XqFyooHoxuI/AAAAAAALn-U/Wdyawl35w6AZumtnH-xo__knI6xJ94s-wCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU NA HUDUMA KATIKA NCHI ZA SADC KWA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA (COVID – 19).
23 APRILI, 2020, DODOMATarehe 6 Aprili, 2020 ulifanyika Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mkutano huo ulijadili janga la mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) unaosababishwa na virusi vya Corona. Mkutano huo ulihusisha Mawaziri wenye dhamana ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mwa Afrika (SADC), ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi Akizungumza katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo Nje, Mambo ya Ndani, Fedha na Mipango, Viwanda na Utalii wa SADC, kuhusu mwenendo wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13.jpg)
BARAZA LA MAWAZIRI SADC, LARIDHIA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU, KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNFug9irxvg/XozFwEU31LI/AAAAAAALmbc/xTBVSmNuS64LTOCuqlfG5uP0-eWz5GpQgCLcBGAsYHQ/s640/1-13.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lwHTjOYsaCE/XuXmoZCeXHI/AAAAAAALtw4/pDoPRm2RhykQZeS4ziHSVsxIfRxm19jHwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252811%2529.jpeg)
DKT MLIMUKA AONGOZA UZINDUZI WA MWONGOZO WA KAZI KWA NCHI ZA SADC KUPITIA JUKWAA LA SEKTA BINAFSI SPSF
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.
Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mtalaa usafirishaji bidhaa wazinduliwa
11 years ago
Mwananchi01 May
Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Asasi zatoa mwelekeo kukabili mabadiliko ya tabia nchi
WIKI hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, aliitisha mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi ambao ulihusisha viongozi kutoka serikalini, masuala ya fedha, biashara na asasi za kiraia....
10 years ago
VijimamboNCHI ZA AFRIKA ZATOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
5 years ago
MichuziNdege ya mizigo kuimarisha usafirishaji samaki nje ya nchi
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema mipango ya Serikali kununua ndege ya mizigo utaimarisha usafirishaji wa minofu ya samaki moja kwa moja kwenda nje ya nchi kutokea uwanja wa ndege wa Mwanza.
Waziri Kamwelwe ameyasema hayo Jumatatu Juni Mosi 2020 jijini Mwanza wakati akifungua mkutano wa kupokea mikakati ya pamoja kuondoa vikwazo na kufanikisha biashara ya usafirishaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi hususani mataifa ya Ulaya ambako kumekuwa na...