Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtalaa usafirishaji bidhaa wazinduliwa

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezindua mtalaa wenye sifa za watendaji wanaohusika na uondoaji na usafirishaji wa mizigo, kwa lengo la kupunguza gharama za biashara baina ya nchi wanachama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya

Taasisi ya Kimataifa ya uangalizi wa masuala ya kiuchumi (BMI) imeonyesha hofu iwapo Tanzania inaweza kusimamia uchumi wake kukua kwa asilimia 7.3 mwaka huu, hasa kutokana na kushuka kwa uuzaji wa bidhaa nje ya nchi na kuongezeka kwa ununuaji wa bidhaa kutoka nje yakiwamo magari.

 

5 years ago

Michuzi

NCHI ZA SADC ZATOA MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU

MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU NA HUDUMA KATIKA NCHI ZA SADC KWA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA VIRUSI  VYA CORONA (COVID – 19).

23 APRILI, 2020, DODOMATarehe 6 Aprili, 2020 ulifanyika Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mkutano huo ulijadili janga la mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) unaosababishwa na virusi vya Corona. Mkutano huo ulihusisha Mawaziri wenye dhamana ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

 

5 years ago

Michuzi

Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Covid-19



Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mwa Afrika (SADC), ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi Akizungumza katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo Nje, Mambo ya Ndani, Fedha na Mipango, Viwanda na Utalii wa SADC, kuhusu mwenendo wa...

 

5 years ago

CCM Blog

BARAZA LA MAWAZIRI SADC, LARIDHIA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU, KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA CORONA COVID-19

  Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mwa Afrika (SADC), ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi Akizungumza katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Mambo Nje, Mambo ya Ndani, Fedha na Mipango, Viwanda na Utalii wa SADC, kuhusu mwenendo wa Covid-19 kwa Nchi za SADC uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, TanzaniaMwenyekiti wa Mkutano wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtalaa mmoja Afrika Mashariki waja

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema, jumuiya hiyo ina mpango wa kutumia mtalaa mmoja wa kufundishia kwa nchi washirika.

 

9 years ago

Mwananchi

Vyuo vikuu Afrika wajadili mtalaa wa ujasiriamali.

Vyuo vikuu vya Afrika vimekutana jijini Arusha kuangalia namna ya kuingiza mtalaa wa ujasiriamali vyuoni kwa lengo la kuwawezesha wahitimu kuwa wabunifu na kujiajiri mara wanapohitimu masomo yao.

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA KILIMO ENDELEVU TANZANIA LAKAMILISHA MTALAA MPYA WA KILIMO,VYUO 29 KUANZA KUUTUMIA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii 
SHIRIKA la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) likamilisha mtaala mpya wa kilimo ambao unatarajiwa kuanza kutumia kwenye vyuo vya mafunzo ya kilimo 29 nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha mtaala huo unaendana na mahitaji ya sasa. 
Akizungumza na waandishi wa habari za kilimohai wakati wa mafunzo maalumu ya kilimo hicho, Meneja wa Mradi wa SAT Mgeta Daud amesema mtaala huo wameufanikisha kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Divisheni ya Mafunzo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari kurahisisha usafirishaji

MAMLAKA ya Bandari nchini kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imeandaa utaratibu wa kuanzisha teknolojia mpya ya kimataifa itakayotumika kurahisisha shughuli za usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani