Mtalaa mmoja Afrika Mashariki waja
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema, jumuiya hiyo ina mpango wa kutumia mtalaa mmoja wa kufundishia kwa nchi washirika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Vyuo vikuu Afrika wajadili mtalaa wa ujasiriamali.
Vyuo vikuu vya Afrika vimekutana jijini Arusha kuangalia namna ya kuingiza mtalaa wa ujasiriamali vyuoni kwa lengo la kuwawezesha wahitimu kuwa wabunifu na kujiajiri mara wanapohitimu masomo yao.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Habarileo29 Apr
Vigogo wa Afrika waja kumzika Mbita
RAIS Jakaya Kikwete leo anaongoza waombolezaji, wakiwemo viongozi mbalimbali wa nchi za Kusini mwa Afrika, katika maziko ya Brigedia Jenerali mstaafu, Hashim Mbita yatakayofanyika jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s72-c/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s640/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/984c224d-7b25-4de3-8091-fb5561aea6f0-1024x683.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/8b9b3d40-e113-4cfe-9e5f-daffa18f1878-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mtalaa usafirishaji bidhaa wazinduliwa
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezindua mtalaa wenye sifa za watendaji wanaohusika na uondoaji na usafirishaji wa mizigo, kwa lengo la kupunguza gharama za biashara baina ya nchi wanachama.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Tanzania kibonde Afrika Mashariki
Licha ya kupanda kwa nafasi nne na kuwa ya 136 katika ripoti ya viwango vya Fifa vilivyotolewa leo, Tanzania inashika nafasi ya mwisho kwa ubora wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki.
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Kumbukumbu zangu za Afrika Mashariki
Katika makala haya tutawaletea uhakiki mfupi wa kitabu chake kiitwacho “Kumbukumbu zangu za Afrika Mashariki (My Reminiscences of East Africa).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania