Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bandari kurahisisha usafirishaji

MAMLAKA ya Bandari nchini kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imeandaa utaratibu wa kuanzisha teknolojia mpya ya kimataifa itakayotumika kurahisisha shughuli za usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya Nane nane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya. Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)

119

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.

121

Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.

006

Balozi wa Malawi...

 

9 years ago

GPL

EVERJOBS KURAHISISHA AJIRA NCHINI

Kutoka kushoto ni Managing Director wa Ever Jobs, Eric Laver,Ofisa Mkuu wa masoko, Lukas Masson pamoja na  Country Manager, Florens Roell. Ofisa Mkuu wa Masoko, Lukas Masson (mbele) akitoa ufafanuzi kwenye uzinduzi huo. Baadhi ya wadau mbalimbali wa ajira na waandishi wa habari waliohudhuria uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini. Lukas Masson (mbele) akitoa maelekezo ya jinsi ya kutafuta ajira kwa kutumia teknolojia hiyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka

Kiongozi wa kanisa katoliki anatarajiwa kutangaza sheria mpya zitakazowaruhusu wakatoliki kutoa talaka na kuoana upya

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘E-Immagration’ kurahisisha vibali vya uhamiaji

MFUMO wa ‘E-immagration’ unaelezwa kuwa utakuwa suluhu katika kutatua tatizo la kuchukua muda mrefu katika kushughulikia vibali vya wageni wanaotoka na kuingia nchini. Akizungumza na Tanzania Daima katika maonyesho ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Postikodi kurahisisha huduma kwa jamii

ORODHA ya Misimbo ya Posta (Postikodi) kwa nchi nzima imeshakamilika na kuchapishwa kupitia gazeti la serikali. Wadau mbalimbali wameanza kutumia misimbo hiyo na anuani hizo, ikiwemo Taasisi ya Utambuzi na...

 

11 years ago

Michuzi

M-PESA YAENDELEA KURAHISISHA HUDUMA KWA WATANZANIA

Dar es Salaam,Tanzania Juni 10, 2014 , Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2008, huduma ya M pesa imendelea kuwa huduma yenye mafanikio zaidi katika utoaji wa huduma za kifedha huku ikiwanufaisha watanzania ambao wanauwezo wa kutuma na kupokea pesa kupitia mawakala zaidi ya 70,000, walioenea nchini kote.
Akizungumzia mafanikio ya huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, huduma hiyo imeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya huduma za...

 

11 years ago

Michuzi

Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa

 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, takes participants through a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- launch in Dar es Salaam to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.   Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, introducing her teammates who also participated in the launch of a new website-www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs...

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Mfumo mpya wa TRA kurahisisha utoaji mizigo

>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema matumizi ya mfumo mpya wa kuratibu mizigo inayotoka nje kuingia nchini utakuwa njia bora katika kuharakisha utoaji wa mizigo hiyo  mara inapoingia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani