Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa

 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, takes participants through a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- launch in Dar es Salaam to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.   Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, introducing her teammates who also participated in the launch of a new website-www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Urasimishaji wa biashara ni muhimu (2)

Binadamu anapozaliwa hupewa jina ambalo humtambulisha au humtofautisha na binadamu wenzingine. Hata hivyo kutokana na mabadiliko ya sayansi, teknolojia na kijamii baadhi ya watoto hupewa majina hata wangali tumboni mwa mama zao! 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi

UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...

 

11 years ago

Mwananchi

Urasimishaji wa biashara ndogo ni jambo muhimu

Urasimishaji biashara, yaani kuifanya biashara itambulike kisheria, ni hatua muhimu sana katika maendeleo ya biashara na taifa kwa ujumla, ingawa wajasiriamali wengi hawajarasimisha biashara zao kwa kuwa baadhi yao hawajua hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tovuti ya kuwasaidia wajasiriamali yazinduliwa nchini

Wajasiriamali wazawa sasa wanaweza kurasimisha biashara zao kwa urahisi, ziwe ndogo au kubwa, baada ya kuanzishwa kwa tovuti iliyosheheni taratibu za kufuata pamoja na hati muhimu za kisheria zilizotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili ambazo ujazwa kabla ya kurasimisha biashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tovuti mabadiliko tabianchi yazinduliwa Dar

KATIKA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), imezindua tovuti maalumu ili kuweza kupambana na hali hiyo duniani. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

TOVUTI YA NAFASI ZA AJIRA YAZINDULIWA JIJINI LEO

  Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akimpa maua balozi mpya wa Owbaz, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’ katika hafla ya uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos,  Muhammad Owais Pardesi na Mkurugenzi Rasilimali Watu wa kampuni ya bima ya Aris, Paritosh Bajaria. Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mkurabita yaendelea na Urasimishaji biashara na Rasilimali za Wanyonge katika mikoa ya Mbeya, iringa na morogoro

 Mkurugenzi wa Liganga Blacksmith Group,akizungumza na wanahabari na kuwaonyesha bidhaa zinazotengenezwana kampuni hiyo walipoanzia na sasa walipo baada ya kupata mafunzo na kuwa wakopaji wazuri kwenye taasisi za fedha za mkoa huo. Kemy Kiula, Mwenyekiti wa Kikundi cha wanaushirika cha trust deed of the regegistered of Tanzania, akipanga biashara na mwanaushirika mwenzake biashara zao zimerasimishwa na wameanza kujipatia mikopo.  wananchi wa morogoro eneo la kihondana viongozi wa manispaa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Tovuti ya Matangazo ya Biashara

Bongofree is offering free posting classifieds ads based in Tanzania. Site is built with modest technology with user usability in mind. It's quick and easy to post ads. It's very powerful mobile friendly website. You can post almost everything for sale or hire such as Jobs, Property, Vehicles, Electronics Items, Personal Items, Services, Business Listing, etc.. The website is responsive and enable users to view & post ads from mobile devices! It also attract a lot of visitors every day....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani