Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tovuti ya Matangazo ya Biashara

Bongofree is offering free posting classifieds ads based in Tanzania. Site is built with modest technology with user usability in mind. It's quick and easy to post ads. It's very powerful mobile friendly website. You can post almost everything for sale or hire such as Jobs, Property, Vehicles, Electronics Items, Personal Items, Services, Business Listing, etc.. The website is responsive and enable users to view & post ads from mobile devices! It also attract a lot of visitors every day....

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Okoa hela ya matangazo ya karatasi, pata tovuti ya .tz na tzNIC!

Maranyingi wafanya biashara hufikiria kutangaza biashara zao magazetini, kwenye mabango, vipeperushi na kadhalika. Wafanyabiashra huamini kwamba njia hizi hufikia watu wengi. Je ni kweli kwamba matangazo ya karatasi hufikia walengwa wengi? Kama mfanyabiashara na mtangazaji, unajuaje kuwa tangazo lako limefikia walengwa wangapi na kwa wakati gani?Kwa kutumia tovuti, unaweza kujua ni watu wangapi wanao tembelea tovuti yako, na wanatembelea kwa muda gani. Kwa kujua ni watu wangapi wanaotembelea...

 

10 years ago

Michuzi

Je Biashara Yako Inaitaji Tovuti?

Wafanya biashara wadogo huamini kwamba kua na tovuti ni kitu kinachofanywa na wafanya biashara wakubwa na inaitaja gharama nyingi kutengeneza. Hilo sio kweli. Gharama ya kuwa na website ni ndogo sana ukilinganisha na faida utakazo zipata baada ya kuwa nayo. Faida ya kuwa na tovuti ni pamoja na; Biashara yako kuaminika kitaifa na kimataifa. Biashara zote zilizo halisi na zinazoaminika hua na tovuti. Tovuti yako itasaidia kuhalalisha biashara yako. Kuwa na tovuti pia itakusaidia kujitangaza...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa

 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, takes participants through a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- launch in Dar es Salaam to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.   Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, introducing her teammates who also participated in the launch of a new website-www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs...

 

11 years ago

GPL

SHOGA, SI KILA BIASHARA MATANGAZO!

JAMANI mwishowe nitapasuka mdomo kwa kusema, mambo mengine kwa mwanamke aibu kuyafanya. Mnakuwa kama hamkwenda mkoleni mkafundwa mkafundika. Hata kama hukwenda bado una aibu ya kike, mnakimbilia mambo ya kuiga ndiyo maana ndoa za siku hizi zimekosa neema wala maisha marefu. Nani alikwambia kicheni pati ya siku moja unafunda mtu  kama siyo kukupoteza na kukupeleka siko. Si wajinga walianzisha mafunzo ya mwanamke ya kuujua...

 

10 years ago

Michuzi

biashara matangazo...Design Mpya ya Tshirts za Kitaa wear zapatikana sasa

Design Mpya ya Tshirts Bei 25,000/= per peace Designer ; Mike Mwakatundu Shop ; Kitaa Wear Kwa Mawasiliano Email; mwakatundu.m@gmail.com +255 754 310 202 +255 713 292 212  NB Unaletewa mpaka Nyumbani/Ofisini  Kama upo interested na bidhaa nyingine zaidi hizo hapo chini tembelea blog yetu www.dukaletu.blogspot.com  Ili kuwajua watengenezaji waagizaji wa bidhaa mbalimbali, mahoteli, usafiri , address sahihi za watu mbalimbali maarufu hapa nchini tembelea blog yetu...

 

10 years ago

Bongo5

Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua

Unapotazama kwa umakini suala la uchumi na mambo ya biashara utagundua wamiliki wakubwa wa biashara nyingi sio wasomi sana ukilinganisha na walioajiriwa kuendesha hizo biashara. Nilipokuwa nikisoma maelezo ya mtu mmoja alizungumzia kitu fulani cha msingi ambacho kinatukabiri sisi ambao kwa namna moja ama nyingine tunasema ni wasomi lakini hatuwezi kuendesha biashara zetu wenyewe. Kitu […]

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA INNOCENT BASHUNGWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR.

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ameshiriki kwenye Mkutano wa Jukwaa la kumi (10) la biashara Zanzibar. Lenye kauli mbiu isemayo “Ushirikishwaji katika kuleta maendeleo endelevu kupitia uchumi wa bahari"

Mkutano huo umefunguliwa Leo 07.03.2020 katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa jukwaa la biashara na Rais wa Zanzibar Mhe .Dkt Ali Mohamed Shein ambae amefungua jukwaa hilo ambalo lengo kuu ni kutazama fursa...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (wa tano kulia), akifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Bidhaa za China 2015, uliofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine na maofisa biashara wa China na wadau wa masuala ya biashara. Hapa Katibu Uledi Mussa akitia saini wakati wa ufunguzi wa maonyesha hayo. Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani