Postikodi kurahisisha huduma kwa jamii
ORODHA ya Misimbo ya Posta (Postikodi) kwa nchi nzima imeshakamilika na kuchapishwa kupitia gazeti la serikali. Wadau mbalimbali wameanza kutumia misimbo hiyo na anuani hizo, ikiwemo Taasisi ya Utambuzi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UAOQEoDPSDM/U5chTBzqviI/AAAAAAAFpig/M0hu0V9fZLc/s72-c/unnamed.jpg)
M-PESA YAENDELEA KURAHISISHA HUDUMA KWA WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UAOQEoDPSDM/U5chTBzqviI/AAAAAAAFpig/M0hu0V9fZLc/s1600/unnamed.jpg)
Akizungumzia mafanikio ya huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, huduma hiyo imeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya huduma za...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Wagharamie hujuma za jamii badala ya huduma za jamii
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
MichuziASKARI POLISI WATAKIWA KUTOA HUDUMA BORA KWA JAMII
Askari Polisi kote nchini wametakiwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii, kwa kuwa kufanya hivyo kutasaidia kuimarisha na kuboresha uhusiano mwema na jamii ambao utasaidia kukabiliana na vitendo vya uhalifu na wahalifu vinavyojitokeza hapa nchini.
Hayo yalisemwa jana na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Nchini, Abdulrahman Kaniki wakati alipokuwa akifungua mkutano wa Maafisa wanadhimu, wahasibu na watunza stoo kutoka mikoa na vikosi vya Jeshi la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VF2_W9sMg6Y/VT5WuRtbvrI/AAAAAAAHTo4/D7Udfc2j7YA/s72-c/IMG_9927.jpg)
NMB YAPATA TUZO KWA KUCHANGIA ZAIDI HUDUMA ZA JAMII
NMB imeibuka mshindi wa kwanza na wa jumla katika makampuni ya biashara yanayojali zaidi jamii kwa kutoa sehemu kubwa ya faida yake kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo katika jamii ya kitanzania.
Ushindi huo umetokana na utafiti uliofanywa na Taasisi ya utafiti wa huduma za maendeleo ya jamii - Research Centre for Social Development Services kwa kushirikiana na kampuni mwenza ya konsalt limited imetoa tuzo hiyo kwa NMB baada ya kujiridhisha kuwa ndiyo benki inayoongoza kwa kusaidia...
Ushindi huo umetokana na utafiti uliofanywa na Taasisi ya utafiti wa huduma za maendeleo ya jamii - Research Centre for Social Development Services kwa kushirikiana na kampuni mwenza ya konsalt limited imetoa tuzo hiyo kwa NMB baada ya kujiridhisha kuwa ndiyo benki inayoongoza kwa kusaidia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uLHoRdFnD2U/VAW5JTnLrXI/AAAAAAAGbZw/GHI-BAAnpns/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Airtel yaanzisha mradi wa huduma kwa jamii ujulikanao kama TUNAKUJALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uLHoRdFnD2U/VAW5JTnLrXI/AAAAAAAGbZw/GHI-BAAnpns/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AWipwiiDKrQ/U4rom_000II/AAAAAAAAFjo/Wt1N4ms1yv4/s72-c/IMG_2134.jpg)
MKUTANAO WA WADAU WA HUDUMA YA AFYA YA MSINGI (PHC) KWA JAMII MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AWipwiiDKrQ/U4rom_000II/AAAAAAAAFjo/Wt1N4ms1yv4/s1600/IMG_2134.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-M1M-VB-2FF0/UzLTenGlkHI/AAAAAAAA3-c/qNIk002_opc/s1600/NHIF+3.jpg)
KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya mji wa Korogwe, Jerry Mwakanyamale (Kulia) akichangia mada wakati wa wa kikao cha Kamati ya Afya ya halmashauri ya mji huo (CHMT) pamoja na Madiwani wa Kata mbali mbali za Korogwe, Tanga kujadili mchakato wa kubadilisha sheria ndogo ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwenda katika Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA). Kikao hicho cha pili kimefanyika Machi 26, 2014 katika ukumbi...
5 years ago
MichuziDOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya ngazi ya jamii 109 kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania