SHIRIKA LA KILIMO ENDELEVU TANZANIA LAKAMILISHA MTALAA MPYA WA KILIMO,VYUO 29 KUANZA KUUTUMIA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
SHIRIKA la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) likamilisha mtaala mpya wa kilimo ambao unatarajiwa kuanza kutumia kwenye vyuo vya mafunzo ya kilimo 29 nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha mtaala huo unaendana na mahitaji ya sasa.
Akizungumza na waandishi wa habari za kilimohai wakati wa mafunzo maalumu ya kilimo hicho, Meneja wa Mradi wa SAT Mgeta Daud amesema mtaala huo wameufanikisha kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Divisheni ya Mafunzo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Jun
9 years ago
Habarileo15 Oct
‘CCM imehakikisha kilimo endelevu’
MKUU wa mkoa huu, Dk Rajab Rutengwe amesema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliweka kipaumbele cha kuhakikisha kilimo kinakuwa endelevu na chenye tija ili kuliwezesha taifa kujitosheleza kwa chakula na kuongeza mapato ya wakulima wadogo.
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Shirika la Helvetas Swiss Intercooperation Tanzania lashauri uvunaji wa maji ya mvua kusaidia kilimo cha umwagiliaji Mkoani Singida
Afisa tathimini wa shirika lisilo la kiserikali la Helvetas Tanzania, Shoma Nangale, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika juzi mjini hapa.Shoma ametoa wito kwa halmashauri za wilaya na manispaa, kuweka mikakati ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji cha mboga mboga.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zimehimizwa kuweka mikakati...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Saa 48 zilizotangazwa na waziri mpya wa kilimo Tanzania …
Ikiwa bado siku moja zitimie siku saba toka Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atangaze baraza la Mawaziri, tayari mawaziri waliotangazwa tumeona wakichapa kazi na kwenda sambamba na sera ya Hapa Kazi Tu!!!. December 16 zilikuwa ni headlines za waziri wa kilimo uvuvi na mifugo Mwigulu Nchemba kufanya ziara ya […]
The post Saa 48 zilizotangazwa na waziri mpya wa kilimo Tanzania … appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zO7YLz8bObk/XtoGHMWPs6I/AAAAAAAC62Y/LNekNKiOFqoUHjAlWLl9WKqLvCgIls8iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs) VIMEFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zO7YLz8bObk/XtoGHMWPs6I/AAAAAAAC62Y/LNekNKiOFqoUHjAlWLl9WKqLvCgIls8iACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2762-2048x1365.jpg)
VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_2762-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2910.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2997.jpg)
Katibu ...
11 years ago
Michuzi19 Mar
WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Shirika kuwawezesha wanawake kilimo cha mboga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0376AA-768x512.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0376AA-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_0480AA-1024x639.jpg)