WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza wakati akifungua warsha kwa wataalamu wa kilimo katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete hii leo.
Mwezeshaji kutoka shirika ka TAHA Bw. Isaac Ndamanhyilu akizungumza kwenye warsha hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wataalamu wa kilimo wa kata na vijiji vya wilaya ya Makete.
Wataalamu wakifuatilia mafunzo hayo.
Mwezeshaji Manfred Bitala akiwawezesha washiriki wa warsha hiyo.
Na Edwin...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 Mar
Mkuu wa wilaya ya Makete afunga warsha ya maafisa kilimo
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA WARSHA YA MAAFISA KILIMO WILAYA YA MAKETE
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA WARSHA YA MAAFISA KILIMO WILAYA YA MAKETE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
11 years ago
Michuzi23 Jul
TASO KUTOA ELIMU KWA WANALINDI KUHUSU UBORESHAJI WA KILIMO
WANANCHI mkoani Lindi wanatarajiwa kuelimishwa njia bora na za kisasa za uvuvi, ufugaji na ukulima ili waweze kuboresha kipato chao na Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakulima Tanzania(TASO) Engelbert Moyo wakati akiongea na waandishi wa habari.
Amesema kuwa wakati wa maonesho ya nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani Lindi watajitahidi kuhakikisha wananchi wanajifunza teknolojia mpya za kilimo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi18 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s72-c/IMG_1363.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s1600/IMG_1363.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m5vDqkfZBoo/U3TNvDNgCnI/AAAAAAAAFbE/V45SjPjcT7E/s1600/IMG_1358.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10