DKT MLIMUKA AONGOZA UZINDUZI WA MWONGOZO WA KAZI KWA NCHI ZA SADC KUPITIA JUKWAA LA SEKTA BINAFSI SPSF
![](https://1.bp.blogspot.com/-lwHTjOYsaCE/XuXmoZCeXHI/AAAAAAALtw4/pDoPRm2RhykQZeS4ziHSVsxIfRxm19jHwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252811%2529.jpeg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.
Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gAweXJ-hSC0/XqFyooHoxuI/AAAAAAALn-U/Wdyawl35w6AZumtnH-xo__knI6xJ94s-wCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NCHI ZA SADC ZATOA MWONGOZO WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA MUHIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAweXJ-hSC0/XqFyooHoxuI/AAAAAAALn-U/Wdyawl35w6AZumtnH-xo__knI6xJ94s-wCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
23 APRILI, 2020, DODOMATarehe 6 Aprili, 2020 ulifanyika Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mkutano huo ulijadili janga la mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) unaosababishwa na virusi vya Corona. Mkutano huo ulihusisha Mawaziri wenye dhamana ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
10 years ago
MichuziMHE. Dkt. PINDI CHANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JINSIA NA MAENDELEO YA WANAWAKE WA NCHI ZA SADC, NCHINI HARARE, ZIMBABWE
9 years ago
StarTV24 Oct
Sekta binafsi Yalilia Uchaguzi wa Amani kwa kuzingatia sheria za nchi
Taasisi ya Sekta binafsi imewasisitiza wananchi kuzingatia sheria za uchaguzi zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC ili uchaguzi ufanyike kwa amani na kuepuka kuingia kwenye machafuko ya kisiasa.
Mkurugenzi wa Sekta Binafsi Godfrey Simbeye amesema mbali na sababu nyingine za kiuchumi amani iliyopo Tanzania ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kuvutia wawekezaji na kukua kwa uchumi wa nchi mpaka kufikia asilimia Saba.
Simbeye amesema baadhi ya nchi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pX9xDW5S_UI/XlkUUe55cMI/AAAAAAALf1o/dk7WIpAJX3o5KWZlpJwY6F0JUuBm8A41ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B-1.jpg)
MKUTANO WA MAWAZIRI WA SADC WA SEKTA YA AJIRA NA KAZI KUANZA DAR
Tanzania inatakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Mawaziri na Wadau wa Utatu wa Sekta ya Ajira na Kazi kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaotarajiwa kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 2 hadi 6 Machi 2020.
Mkutano huu ambao utafunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, umebeba kaulimbiu isemayo “Kukuza Soko la Ajira na Mahusiano Mema Sehemu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-8.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-2-9.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
NYANZA: ATE yataka ‘Hapa Kazi Tu’ hadi sekta binafsi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Mg0Ol2MtVLE/XlyFw4U5t6I/AAAAAAALgP4/s_nUs_bAtmIslFgqphzKgBaoTCZQqo1SgCLcBGAsYHQ/s72-c/114dbd52-7517-400c-9e15-2e8bc2be44b0.jpg)
MAWAZIRI WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA KUKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Mg0Ol2MtVLE/XlyFw4U5t6I/AAAAAAALgP4/s_nUs_bAtmIslFgqphzKgBaoTCZQqo1SgCLcBGAsYHQ/s640/114dbd52-7517-400c-9e15-2e8bc2be44b0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c62ed2e8-d154-420d-ac0f-ec339d19f731.jpg)