Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekta binafsi Yalilia Uchaguzi wa Amani kwa kuzingatia sheria za nchi

Taasisi ya Sekta binafsi imewasisitiza wananchi kuzingatia sheria za uchaguzi zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC ili uchaguzi ufanyike kwa amani na kuepuka kuingia kwenye machafuko ya kisiasa.

Mkurugenzi wa Sekta Binafsi Godfrey Simbeye amesema mbali na sababu nyingine za kiuchumi amani iliyopo Tanzania ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kuvutia wawekezaji na kukua kwa uchumi wa nchi mpaka kufikia asilimia Saba.

Simbeye amesema baadhi ya nchi za...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sekta binafsi yalilia mitaji ya masharti nafuu ili kujiimarisha

Wafanyabiashara wadogo na wa kati wamekuwa katika wakati mgumu wa kupanua biashara zao kutokana na taasisi za fedha kutoa mitaji ya muda mfupi kwa ajili ya kuendesha biashara badala ya kutoa mitaji ya muda mrefu yenye masharti nafuu.

 

9 years ago

Dewji Blog

MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!

SAM_0040

baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko 

Na.Jumbe Ismailly.

[Ikungi-SINGIDA] Mkuu  wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...

 

5 years ago

Michuzi

DKT MLIMUKA AONGOZA UZINDUZI WA MWONGOZO WA KAZI KWA NCHI ZA SADC KUPITIA JUKWAA LA SEKTA BINAFSI SPSF

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.

Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya sekta binafsi ulinzi kuleta uwajibikaji

KUKAMILIKA kwa sheria ya kudhibiti sekta binafsi ya ulinzi, kutasaidia kuondoa kampuni yanayofanya shughuli hiyo kwa ubabaishaji.

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA


Na. WAMJW-DSM

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akifungua rasmi mkutano wa wadau wa uhamasishaji wa ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi PPP - ("Public and Private Partnership") katika Sekta ya Afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Rukwa. Katika hotuba yake ya ufunguzi amesema ili kufikia lengo kuu la millennia ifikapo mwaka 2015 la kupunguza vifo vya watoto, akina mama wajawazito na kuweza kudhibiti magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza pamoja na kuboresha...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, akizungumza na Maafisa wa Jeshi la Polisi, wakati wa mkutano wa Kujitambulisha na kufahamiana na Watendaji wakuu na Maafisa wa Jeshi la Polisi uliofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake, Mngodo alilipongeza jeshi hilo kwa kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu. Kulia kwa Katibu Mkuu ni Inspekta Jenerali wa Jeshi hilo (IGP), Ernest Mangu. Inspekta Jenerali wa Jeshi la...

 

9 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI, Wasimamizi waaswa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu

Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo.Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.Wanasemina ya masuala ya Uchaguzi kanda ya ziwa wakiwa darasani.Msisitizo kutoka kwa mwanasheria.Bi. Jessica Mongi kutoka tume ya uchaguzi hapa akionesha mfano wa utaratibu wa upigaji kura utakavyokuwa.
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...

 

10 years ago

Mwananchi

Bodi yalilia mabadiliko Sheria ya Ununuzi

Bodi ya Barabara Mkoa wa Arusha imeliomba Bunge kufanya marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani