Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Kigoda: Sheria za usafirishaji ziangaliwe upya

SERIKALI imesema ipo haja ya kuangalia baadhi ya sheria zilizowekwa katika sekta ya usafirishaji kwa kuwa nyingi ya sheria hizo zinafaidisha nchi jirani. Akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mizengo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Haki za watoto ziangaliwe upya

KILA zama zina mambo yake, mazuri na mabaya. Zama tulionazo Zanzibar sasa ni za kusikitisha kwa vile ukienda sokoni, kwenye kituo cha daladala au katika baraza za kahawa kinachosikika ni kilio cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya

Taasisi ya Kimataifa ya uangalizi wa masuala ya kiuchumi (BMI) imeonyesha hofu iwapo Tanzania inaweza kusimamia uchumi wake kukua kwa asilimia 7.3 mwaka huu, hasa kutokana na kushuka kwa uuzaji wa bidhaa nje ya nchi na kuongezeka kwa ununuaji wa bidhaa kutoka nje yakiwamo magari.

 

5 years ago

Michuzi

SEKRETARIETI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI BINADAMU WAFANYA KIKAO CHA KUPENDEKEZA MAREKEBISHO YA SHERIA


Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella, akifafanua jambo kuhusu Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu katika Kikao cha Wadau wa Sheria wa Wizara na Idara za serikali kwa ajili ya kupendekeza marekebisho ya Sheria hiyo, Kikao hicho kimefanyika, Jijini Dodoma leo.Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella (Wa kwanza...

 

10 years ago

Habarileo

Sheria za elimu kupitiwa upya

OFISI ya Mrajisi wa Elimu Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kuzipitia baadhi ya sheria ambazo zinatoa mwanya zaidi kwa wazazi kuwaozesha watoto wa kike na kukosa haki na fursa ya kupata elimu ya lazima.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Kinemo Kihonamo.  Makamu wa Rais wa Jamhuri...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Kinemo Kihonamo.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Washauri sheria kinzani za fedha kupitiwa upya

Mfumo wa Benki wa Ufichaji wa Siri za Wateja (Bank Secress) uliopo, umeelezwa kuwa unachangia uhamishaji wa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Afrika na kuwaacha Waafrika wakibaki maskini baada ya rasilimali zao kuhamishwa.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.

Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.


 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari kurahisisha usafirishaji

MAMLAKA ya Bandari nchini kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imeandaa utaratibu wa kuanzisha teknolojia mpya ya kimataifa itakayotumika kurahisisha shughuli za usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani