Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki za watoto ziangaliwe upya

KILA zama zina mambo yake, mazuri na mabaya. Zama tulionazo Zanzibar sasa ni za kusikitisha kwa vile ukienda sokoni, kwenye kituo cha daladala au katika baraza za kahawa kinachosikika ni kilio cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk Kigoda: Sheria za usafirishaji ziangaliwe upya

SERIKALI imesema ipo haja ya kuangalia baadhi ya sheria zilizowekwa katika sekta ya usafirishaji kwa kuwa nyingi ya sheria hizo zinafaidisha nchi jirani. Akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mizengo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kulinda haki za watoto

WANANCHI wametakiwa kuzingatia haki za binadamu na kutambua kuwa kila mmoja ana wajibu wa kuishi bila kushurutishwa na mtu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

UN:Vatcan inapuuza haki za watoto

Kwa mara nyingine tena kanisa katoliki limelaumiwa kwa kutochukua hatua dhidi ya makasisi wake wanao wanyanyasa watoto kingono.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake, watoto tambueni haki zenu’

WANAWAKE na watoto wametakiwa kuzitambua haki zao za kimsingi katika jamii ili kuepukana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyokithiri wilayani Karagwe. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya...

 

10 years ago

StarTV

Jamii yaaswa kuzingatia haki za watoto.

Na Marcus/Dida,

Mwanza.

 

Watanzania wameaswa kuzingatia haki za watoto za kupendwa, kusikilizwa na kupata stahili zote muhimu ili kupata Taifa lenye watu waliopata malezi mema.

Kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa watoto ni mfano mbaya kutoka kwa walezi ambao humsababishia mtoto huyo kuishi maisha ya huzuni na kisasi kwa aliyotendewa.

Ni wito kutoka kwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Epifania iliyofanyika Parokia ya...

 

5 years ago

Michuzi

USHIRIKIANO UNAHITAJIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA HAKI ZA WATOTO

RIPOTI ZA WATOTO Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Sharmillah Sarwatt amewataka wadau mbalimbali wanaohusika mashauri na haki za watoto kushirikiana ili kuweza kutatua changamoto   zilizopo katika mahabusu   na baadhi ya magereza ili hakikisha mtoto anapatiwa haki kwa wakati na katika mazingira bora, ikiwemo kulindwa. Akizungumza leo wakati akifungua kikao kazi cha wadau wa Mahakama baada ya kufanyika ukaguzi wa mahabusu za watoto na baadhi ya magereza ulifanyika kuanzia Machi 16...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wa Marais wana haki kujiunga na siasa?

Katika mfululizo wa makala kuhusu uhuru leo tunaangalia uhuru katika kufanya shughuli za siasa nchini Tanzania.

 

9 years ago

Mtanzania

Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao

mtoto wa mwanamuziki wa zamaniNA JANETH MAPUNDA (MSPS)

BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.

Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Gama alilia haki ya dini kwa watoto wa kike

Mbunge wa zamani na mjumbe wa Bunge la Katiba Dk. Zainabu Gama amependekeza Katiba ijayo iweke kipengele cha uhiyari wa dini kwa watoto wa kike.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani