USHIRIKIANO UNAHITAJIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA HAKI ZA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-eJk65T6Wc/Xs_CsI9zfeI/AAAAAAALr4M/PNlOvL-vmYAvrxgoiFcANzRJWX0eFFCvQCLcBGAsYHQ/s72-c/image1.png)
RIPOTI ZA WATOTO Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Sharmillah Sarwatt amewataka wadau mbalimbali wanaohusika mashauri na haki za watoto kushirikiana ili kuweza kutatua changamoto zilizopo katika mahabusu na baadhi ya magereza ili hakikisha mtoto anapatiwa haki kwa wakati na katika mazingira bora, ikiwemo kulindwa. Akizungumza leo wakati akifungua kikao kazi cha wadau wa Mahakama baada ya kufanyika ukaguzi wa mahabusu za watoto na baadhi ya magereza ulifanyika kuanzia Machi 16...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8P_iRNYbDmM/Xk9pchGhOxI/AAAAAAALeoA/I2xOD5mithIzCOXLB9turaVB5opt7nA-wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_163759.jpg)
HALMASHAURI YA NGORONGORO YAJIPANGA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA BARABARA.
Na Woinde Shizza ,Arusha
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro inakabiliwa na changamoto ya barabara kuu kuu ya kuingia katika hospital ya wilaya hiyo kutopitika kwa kipindi hichi cha mvua ,ukosefu Wa uzio Wa kuzunguka hospitali hiyo pamoja na kuchelewa kwa michango ya Mwananchi kotoka kwa ngazi za vijiji.
Hayo yamebainishwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro Peter Lehhet wakati akisoma taarifa ya mradi Wa ujenzi Wa hospital ya wilaya ya Ngorongoro mbele ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI YAINGILIA KATI CHANGAMOTO YA SUKARI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa ufafanuzi juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari.
Amesema kuwa kila mwaka serikali imekuwa makini katika kutathmini mahitaji ya sukari kwa wananchi kadhalika uwezo wa...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri. Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.
Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tibaijuka asisitiza ushirikiano duniani kukabili changamoto mbalimbali
Baadhi ya wakuu wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa nchini wakiwapokea wageni waalikwa kwenye hafla mchapalo ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
Tanzania imetaka jumuiya za kimataifa na washirika wa maendeleo kuhakikisha wanashirikiana na Umoja wa Mataifa kuhakikisha kwamba madhumuni ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) yanafikiwa.
Umoja wa Mataifa ulianzishwa miaka 69 iliyopita kuhakikisha amani, maendeleo na...
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s72-c/PIX%2B1..jpg)
SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s1600/PIX%2B1..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Scob4KFhOaQ/VHHqonwfPNI/AAAAAAADNzI/kEERjqTcxko/s1600/PIX%2B2..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5R3giLBngME/VHHqtfWlyyI/AAAAAAADNzg/yonQqDS1pdA/s1600/PIX%2B3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_3160.jpg)
TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
10 years ago
Michuzi27 Oct
PROF.TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
![DSC_0060](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00601.jpg)
![DSC_0062](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00621.jpg)
![DSC_0036](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00362.jpg)