PROF.TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
Mgeni rasmi Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi, Profesa Anna Tibaijuka akisoma risala yake kwenye hafla hiyo ambapo alitoa pongezi kwa Umoja wa Mataifa kwa niaba ya Serikali na kuahidi kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana bega kwa bega na Umoja huo kuhakikisha malengo ya milenia yanafikiwa kwa asilimia mia moja.
Profesa Tibaijuka na Bw. Rodriguez wakijiandaa kufanya "cheers" ya kuutakia kheri Umoja huo.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tibaijuka asisitiza ushirikiano duniani kukabili changamoto mbalimbali
Baadhi ya wakuu wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa nchini wakiwapokea wageni waalikwa kwenye hafla mchapalo ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
Tanzania imetaka jumuiya za kimataifa na washirika wa maendeleo kuhakikisha wanashirikiana na Umoja wa Mataifa kuhakikisha kwamba madhumuni ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) yanafikiwa.
Umoja wa Mataifa ulianzishwa miaka 69 iliyopita kuhakikisha amani, maendeleo na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_3160.jpg)
TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Habarileo22 Feb
JK asisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda
TANZANIA inaunga mkono kwa dhati ushirikiano wa kikanda na ni muumini mkubwa wa Umoja wa Afrika na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
10 years ago
Habarileo15 Sep
Kiongozi wa Mabohora asisitiza ushirikiano
KIONGOZI Mkuu wa Mabohora Duniani, Dai-al-mutlaq Syedna Aaliqadar Mufaddal Saifuddin ameahidi kuimarisha uhusiano na Tanzania kwa kuchangia ukuaji na maendeleo ya uchumi.
10 years ago
MichuziWaziri Sitta asisitiza ushirikiano mahala pa kazi
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Prof. Tibaijuka kwanini usiwajibike?
NATAMANI kusikia Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, akijiuzulu. Ajiuzulu kutokana na migogoro ya ardhi kushamili nchini na kushindwa kutenga...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Mloganzila wamkomalia Prof. Tibaijuka
WAKAZI wa Kwembe, Kisopwa na Mloganzila katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, wameandamana hadi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishinikiza kuonana na Waziri, Profesa Anna Tibaijuka,...