HALMASHAURI YA NGORONGORO YAJIPANGA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA BARABARA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8P_iRNYbDmM/Xk9pchGhOxI/AAAAAAALeoA/I2xOD5mithIzCOXLB9turaVB5opt7nA-wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_163759.jpg)
Na Woinde Shizza ,Arusha
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro inakabiliwa na changamoto ya barabara kuu kuu ya kuingia katika hospital ya wilaya hiyo kutopitika kwa kipindi hichi cha mvua ,ukosefu Wa uzio Wa kuzunguka hospitali hiyo pamoja na kuchelewa kwa michango ya Mwananchi kotoka kwa ngazi za vijiji.
Hayo yamebainishwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro Peter Lehhet wakati akisoma taarifa ya mradi Wa ujenzi Wa hospital ya wilaya ya Ngorongoro mbele ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
11 years ago
Habarileo18 Apr
SMZ yajipanga kukabiliana na majanga
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kukabiliana na majanga mbalimbali, ikiwemo matukio ya ajali ya vyombo vya baharini kwa kutoa elimu kwa wananchi na makundi mbalimbali.
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali yajipanga kukabiliana na Wizi wa Umeme Nchini!
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani)mapema leo jijini Dar es Salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na tatizo la wizi wa umeme na kuimarisha ukaguzi ili kubaini wateja wasio waaminifu na kuwachukulia hatua za kisheria. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa. (Picha na Fatma Salum- Maelezo)
Na. Fatma Salum – MAELEZO
Serikali inatarajia kuunda kikosi maalum...
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA wILAYA YA rUNGWE YAJIPANGA KUMALIZA UJENZI WA MAABARA KWA WAKATI.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Crispin Meela akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa saruji na Silingbodi zenye thamani ya shilingi Milioni 4.7 kwa ajili ya ujenzi wa maabara Wilayani Rungwe.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Mifuko 100 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company Limited, Mhandisi Andrew Mwaipaja wanaoshughulikia mradi wa umeme vijijini(REA).
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Siling bodi kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ed5FJT7A9zM/VcH-zuxyP2I/AAAAAAADWiQ/vsPA1I2zn4o/s72-c/11822777_10153545117122938_6993233855810874032_n.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro Elias Ngorisa na Madiwani, wajiunga CHADEMA
![post-feature-image](http://3.bp.blogspot.com/-Ed5FJT7A9zM/VcH-zuxyP2I/AAAAAAADWiQ/vsPA1I2zn4o/s640/11822777_10153545117122938_6993233855810874032_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NXzA-W6Utq0/VcH-zogwYRI/AAAAAAADWiM/SOfDbox1bNw/s640/11822749_10153545117042938_2990569066497731720_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-J3aNoGe8Cf4/VcH-z24StuI/AAAAAAADWiU/byc2U-iROh8/s640/11201814_10153545117197938_3397694198031960869_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Kinana: Ujenzi barabara ‘ya Ngorongoro’ umeiva
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-eJk65T6Wc/Xs_CsI9zfeI/AAAAAAALr4M/PNlOvL-vmYAvrxgoiFcANzRJWX0eFFCvQCLcBGAsYHQ/s72-c/image1.png)
USHIRIKIANO UNAHITAJIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA HAKI ZA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-eJk65T6Wc/Xs_CsI9zfeI/AAAAAAALr4M/PNlOvL-vmYAvrxgoiFcANzRJWX0eFFCvQCLcBGAsYHQ/s1600/image1.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI YAINGILIA KATI CHANGAMOTO YA SUKARI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa ufafanuzi juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari.
Amesema kuwa kila mwaka serikali imekuwa makini katika kutathmini mahitaji ya sukari kwa wananchi kadhalika uwezo wa...