Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro Elias Ngorisa na Madiwani, wajiunga CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ed5FJT7A9zM/VcH-zuxyP2I/AAAAAAADWiQ/vsPA1I2zn4o/s72-c/11822777_10153545117122938_6993233855810874032_n.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro Mhe. Elias Ngorisa, katibu wa fedha na uchumi wa CCM Wilaya ya Ngorongoro ma madiwani wajiunga CHADEMA mchana huu na Pichani Wakipokelewa na Mbunge wa Arumeru mashariki-Chadema Mhe. Joshua Nassari
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bdrsTvcLHAA/XnzH75w9ilI/AAAAAAALlLw/Y_Dck3W0Lrc-_8elZhDZa76H1dQupo6MACLcBGAsYHQ/s72-c/a1b1e13a-e93f-4fa3-9a84-1930981a549e.jpg)
UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQc_f_YpOXw/XuUETTyAAlI/AAAAAAALtsA/ih3IX7o2W4YWqJFUKtoWVKjskCN5-JRdQCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA%2BTENA.png)
Chadema wajibu mapigo kwa Ole Sendeka 'Dhamira yetu sio madiwani pekee tutachukuwa mpaka halmashauri'.
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema mkoa wa Njombe kimesema kinaamini ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Njombe kwa kuwa wamejipanga kikamilifu licha ya mitiani yote wanayopitia.
Hayo yamebainishwa na viongozi wa chama hicho mkoani Njombe wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza madiwani wanaotokana na chama hicho wa halmashauri ya mji wa Makambako kwa kuvumilia na kufanikiwa kumaliza kipindi chao cha miaka mitano.
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8P_iRNYbDmM/Xk9pchGhOxI/AAAAAAALeoA/I2xOD5mithIzCOXLB9turaVB5opt7nA-wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200219_163759.jpg)
HALMASHAURI YA NGORONGORO YAJIPANGA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA BARABARA.
Na Woinde Shizza ,Arusha
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro inakabiliwa na changamoto ya barabara kuu kuu ya kuingia katika hospital ya wilaya hiyo kutopitika kwa kipindi hichi cha mvua ,ukosefu Wa uzio Wa kuzunguka hospitali hiyo pamoja na kuchelewa kwa michango ya Mwananchi kotoka kwa ngazi za vijiji.
Hayo yamebainishwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro Peter Lehhet wakati akisoma taarifa ya mradi Wa ujenzi Wa hospital ya wilaya ya Ngorongoro mbele ya...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Viongozi CHADEMA Kigoma wajiunga na ACT
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jafari Kasisiko (katikati) Katibu wa Mkoa CHADEMA, Msafiri Wamalwa (kushoto), Katibu wa BAWATA Bi. Malunga Simba wakiwa wanatangaza uamuzi wao wa kujitoa CHADEMA mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Jafari Kasisiko , Katibu wa mkoa Msafiri Wamalwa na Katibu wa Baraza la wanawake, Bi. Malunga Simba wa chama hicho Mkoa wa Kigoma...
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA CHADEMA WAJIUNGA NCCR - MAGEUZI
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Mgeja, Guninita waibwaga CCM, wajiunga Chadema
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kimeacha misingi yake na sasa kimegeuka kuwa kampuni ya familia moja.
Mgeja pia amempiga kijembe mgombea urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akimfananisha na dereva ambaye hajaweza kuendesha gari vizuri ‘learner’ akimaanisha kuwa hana uwezo wa kukiongoza chama hicho.
Mgeja alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama...
9 years ago
Mwananchi13 Aug
Mgeja, Guninita wajiengua CCM, wajiunga Chadema
9 years ago
MichuziMGEJA,GUNINITA WANGATUKA CCM ,WAJIUNGA CHADEMA