VIONGOZI WA CHADEMA WAJIUNGA NCCR - MAGEUZI
Mkuu wa Idara ya Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa Chama cha NCCR – Mageuzi taifa Edward Simbeye (kulia) akimkabidhi Katiba na Kadi ya NCCR - Mageuzi aliyekuwa Katibu wa Chadema ni msingi Kanda ya Serengeti na Operation Kamanda Chadema ni Msingi katika Majimbo ya Solwa,Kongwa na Temeke Bi. Eunice Kanumba.
Mkuu wa Idara ya Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa Chama cha NCCR – Mageuzi taifa Edward Simbeye (kulia) akimkabidhi Charles Shigino Kadi ya NCCR - Mageuzi.
Wanachama wapya wa NCCR -...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
StarTV19 Sep
 NCCR — Mageuzi wahofia viongozi wao kudhuriwa
Chama cha NCCR-Mageuzi kimedai kugundua mbinu chafu zinazopangwa na kikundi kinachotajwa kutaka kuwadhuru viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, hususan Mwenyekitu wa chama hicho, James Mbatia.
Aidha, chama hicho kimesema hakitajiengua kwenye Umoja huo kama inavyoelezwa na baadhi ya wanachama wake kwa madai ya Umoja kushindwa kufikia baadhi ya makubaliano, hususan ya mgao wa majimbo. Walipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, NCCR- Mageuzi...
10 years ago
Mwananchi18 May
Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Mh Mbowe Ajibu Malalamiko ya Viongozi wa NCCR-Mageuzi
Sunday, September 20, 2015 MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananachi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema, wanaoleta chokochoko ndani ya umoja huo walitaka upendeleao. Kauli […]
The post VIDEO: Mh Mbowe Ajibu Malalamiko ya Viongozi wa NCCR-Mageuzi appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QQJaC5d6Ccs/XnhTyeMm9cI/AAAAAAALkwU/xJeNcRoecrEcBziHs_Kj11DXlaqM8oryACLcBGAsYHQ/s72-c/d2b48557-00ef-4b62-8fff-61001ef13b06.jpg)
KADA MWINGINE CHADEMA ATIMKIA NCCR-MAGEUZI, AKERWA NA KUTOTHAMINIWA KWA MWANAMKE
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezidi kukimbia na wanachama wake baada ya aliyekua kiongozi wa chama hicho kujiengua ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama cha NCCR-Mageuzi.
Ndiholeye Kifu ambaye aliwahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Ukatibu Mwenezi na baadae Mwenyekiti wa Bawacha wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Chadema (Chaso) kutoka Chuo Kikuu cha Katoliki Mwenge mkoani Kilimanjaro amejiuzulu kwa kile alichoeleza...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s72-c/1.jpg)
CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI NA NLD VYATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO HII LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s1600/1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Viongozi CHADEMA Kigoma wajiunga na ACT
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jafari Kasisiko (katikati) Katibu wa Mkoa CHADEMA, Msafiri Wamalwa (kushoto), Katibu wa BAWATA Bi. Malunga Simba wakiwa wanatangaza uamuzi wao wa kujitoa CHADEMA mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Jafari Kasisiko , Katibu wa mkoa Msafiri Wamalwa na Katibu wa Baraza la wanawake, Bi. Malunga Simba wa chama hicho Mkoa wa Kigoma...
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUWA KATIKA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020 ATAGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA NCCR-MAGEUZI...
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini Anthony Komu(Chadema) amtengaza rasmi baada ya muda wake wa ubunge kumalizika kwa mujibu wa sheria basi ataachana na Chama hicho na kisha kujiunga na NCCR-Mageuzi ambacho ndicho atatumia kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020.
Mbali na kutangaza msimamo wake wa kuondoka Chadema wakati utakapofika, komu ametumia nafasi hiyo kuelezea hatua kwa hatua mwenendo wake wa kisiasa ndani ya Chadema ambao uaonesha kwa...