KADA MWINGINE CHADEMA ATIMKIA NCCR-MAGEUZI, AKERWA NA KUTOTHAMINIWA KWA MWANAMKE

Charles James, Globu ya Jamii
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezidi kukimbia na wanachama wake baada ya aliyekua kiongozi wa chama hicho kujiengua ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama cha NCCR-Mageuzi.
Ndiholeye Kifu ambaye aliwahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Ukatibu Mwenezi na baadae Mwenyekiti wa Bawacha wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Chadema (Chaso) kutoka Chuo Kikuu cha Katoliki Mwenge mkoani Kilimanjaro amejiuzulu kwa kile alichoeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ATANGAZA KUWA KATIKA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020 ATAGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA NCCR-MAGEUZI...
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini Anthony Komu(Chadema) amtengaza rasmi baada ya muda wake wa ubunge kumalizika kwa mujibu wa sheria basi ataachana na Chama hicho na kisha kujiunga na NCCR-Mageuzi ambacho ndicho atatumia kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020.
Mbali na kutangaza msimamo wake wa kuondoka Chadema wakati utakapofika, komu ametumia nafasi hiyo kuelezea hatua kwa hatua mwenendo wake wa kisiasa ndani ya Chadema ambao uaonesha kwa...
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA CHADEMA WAJIUNGA NCCR - MAGEUZI
10 years ago
Mwananchi18 May
Urais wawagonganisha NCCR-Mageuzi, Chadema
11 years ago
Vijimambo
CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI NA NLD VYATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO HII LEO

11 years ago
GPL
5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.
Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...
10 years ago
MichuziNCCR-MAGEUZI KWAFUKUTA CHINI KWA CHINI
Akizungumza leo na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Kada wa Vijana Chadema Dar auawa kwa risasi