Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yajipanga kukabiliana na majanga

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kukabiliana na majanga mbalimbali, ikiwemo matukio ya ajali ya vyombo vya baharini kwa kutoa elimu kwa wananchi na makundi mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ yajipanga kuilipa Tanesco

Ramadhan Abdalla ShaabanSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeanza kuweka mikakati ya kuhakikisha deni la umeme kutoka Shirika la Umeme (Tanesco), linalipwa kwa awamu tofauti ili kuepuka huduma hiyo kusitishwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya inauwezo kukabiliana na majanga?

Katika Mjadala huu tunaangalia kama kweli Kenya inauwezo au iko tayari kupambana na majanga yanapotokea

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yajipanga kukabiliana na Wizi wa Umeme Nchini!

Badra 01

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani)mapema leo jijini Dar es Salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na tatizo la wizi wa umeme na kuimarisha ukaguzi ili kubaini wateja wasio waaminifu na kuwachukulia hatua za kisheria. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa. (Picha na Fatma Salum- Maelezo)

Na. Fatma Salum – MAELEZO

Serikali inatarajia kuunda kikosi maalum...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA NGORONGORO YAJIPANGA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA BARABARA.


Na Woinde Shizza ,Arusha

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro inakabiliwa na changamoto ya barabara kuu kuu ya kuingia katika hospital ya wilaya hiyo kutopitika kwa kipindi hichi cha mvua ,ukosefu Wa uzio Wa kuzunguka hospitali hiyo pamoja na kuchelewa kwa michango ya Mwananchi kotoka kwa ngazi za vijiji.

Hayo yamebainishwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro Peter Lehhet wakati akisoma taarifa ya mradi Wa ujenzi Wa hospital ya wilaya ya Ngorongoro mbele ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wananchi waombwa utulivu kukabiliana na majanga mawili ya mlipuko DRC

Waziri wa afya nchini humo Dkt. Eteni Longondo amethibitisha vifo vya watu wanne waliofariki na ugonjwa wa Ebola.

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA WAJIFUNZA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO

 Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Azania ya jijini Dar-es-Salaam akizima moto kwa kutumia kizimia moto cha aina ya dry powder baada ya kupewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto kutoka Jeshi la Zimamoto na Ukoaji mkoa wa Ilala. Wanafunzi wa shule ya Secondari Azania ya jijini Dar-es-Salaam wakizimamoto kwa kutumia blanketi ya kuzimia moto baada ya kupewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Ilala.
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika wanafunzi...

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA


 Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji (ACF) Gilbert Mvungi, akizungumza na Maafisa na Akari wa Jeshi hilo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo Maafisa na Akari wa Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ofisi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma na kuratibiwa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA) kwa kushirikiana na Jeshi la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga

653

Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu  na Afya la Usafricom  kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani