Wananchi waombwa utulivu kukabiliana na majanga mawili ya mlipuko DRC
Waziri wa afya nchini humo Dkt. Eteni Longondo amethibitisha vifo vya watu wanne waliofariki na ugonjwa wa Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Apr
SMZ yajipanga kukabiliana na majanga
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kukabiliana na majanga mbalimbali, ikiwemo matukio ya ajali ya vyombo vya baharini kwa kutoa elimu kwa wananchi na makundi mbalimbali.
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Kenya inauwezo kukabiliana na majanga?
11 years ago
GPLMAJANGA NIGERIA: MLIPUKO MWINGINE WAUA 18, WENGINE 19 WAKIJERUHIWA
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA WAJIFUNZA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika wanafunzi...
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
20 wafariki kwenye mlipuko DRC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga
Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu na Afya la Usafricom kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...
9 years ago
StarTV04 Nov
Wananchi waombwa kuheshimu sheria
Watanzania wameombwa kuitunza amani na utulivu vilivyopo nchini ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa kisiwa cha amani.
Maombi hayo yamekuja mara baada ya kuibuka taarifa za kuwepo kikundi cha watu wanaotishia kufanya maandamano bila ya kibali kwa lengo la kupinga kuapishwa kwa Rais mteule wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli.
Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdallah Bin Yunusi Ally Mnyasi amesema ni muhimu wananchi wakaheshimu vyombo vya dola na mamlaka iliyowekwa kisheria ili kuondoa uvunjifu...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU
![](https://4.bp.blogspot.com/-AsUH_qwLQGs/VGSr7e5svtI/AAAAAAAGw8g/mFo8s5pkN9M/s640/unnamed%2B(5).jpg)
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...