Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi waombwa kuheshimu sheria

Watanzania wameombwa kuitunza amani na utulivu vilivyopo nchini ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa kisiwa cha amani.

Maombi hayo yamekuja mara baada ya kuibuka taarifa za kuwepo kikundi cha watu wanaotishia kufanya maandamano bila ya kibali kwa lengo la kupinga kuapishwa kwa Rais mteule wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli.

Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdallah Bin Yunusi Ally Mnyasi amesema ni muhimu wananchi wakaheshimu vyombo vya dola na mamlaka iliyowekwa kisheria ili kuondoa uvunjifu...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Madereva watakiwa kuheshimu sheria

MADEREVA wametakiwa kuheshimu sheria na kanuni za usalama barabarani hususani katika suala la matumizi ya alama zinazoakisi mwanga pindi magari yao yanapoharibika au kupatwa na dharura. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU

MPANGO Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) unatoa rai kwa wananchi wote wenye sifa za kuchangia damu wajitokeze kuchangia damu katika vituo vya Damu salama hasa kipindi cha mwezi Novemba mpaka Januari mwakani , kipindi ambacho wanafunzi wa sekondari wanakuwa likizo hivyo kusababisha kuongezeka kwa uhaba wa damu nchini.
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...

 

9 years ago

Habarileo

Wananchi waombwa kuitii NEC

TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imetoa mwito kwa wananchi kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kuepuka vurugu wakati wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu mkuu unaotarajiwa kufanyika kesho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wananchi waombwa utulivu kukabiliana na majanga mawili ya mlipuko DRC

Waziri wa afya nchini humo Dkt. Eteni Longondo amethibitisha vifo vya watu wanne waliofariki na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi

Picha DC TMK

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Picha na 1

Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA

Habari na picha na Rajabu Mwenda Waziri wa Afya na ustawi wa jamii Mheshimiwa Dr Seif S. Rashid alisema juzi siku ya jumamosi 02/02/2014 katika msikiti wa kichangani magomeni Dar-es-salaam ambako alikuwa mgeni rasmi katika zoezi la kuchangia damu ambalo liliratibiwa na Mpango wa Taifa wa damu salama kanda ya mashariki kwa kushirikiana na Jumuiya ya akhlaaqul Islaam (JAI)  Akisoma hotuba kwa niaba ya waziri wa afya kaimu mkurugenzi wa tiba wizara ya afya Dr Hadiel senkoro alisema, viongozi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi wengi hawaitumii taaluma ya sheria’

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Tanzania Community Legal Training Association (Tacolta), limezindua utafiti wa kuaninisha njia za utoaji msaada wa kisheria kwa wahitaji uliofanyika katika mikoa sita hapa nchini. Uzinduzi...

 

5 years ago

Michuzi

OSHA YATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA NA KUELIMISHA WANANCHI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umetakiwa kuendelea
kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi ikiwemo kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya Usalama na Afya kazini ili kupunguza ajali na magonjwa yanayoweza kutokea katika sehemu za kazi.

Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Bw. Andrew Massawe, alipotembelea ofisi za OSHA kwa ajili ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbali mbali ya...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI MKOANI KAGERA KUNUFAIKA NA WIKI YA MSAADA WA SHERIA.


Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.

Wiki ya msaada wa Sheria imezinduliwa Mkoani Kagera Wilayani Karagwe na Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti katika Viwanja vya Changarawe Wilayani humo, lengo likiwa ni kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi hususani makundi maalumu.
Uwepo wa huduma hii itakayotolewa katika Wilaya za Karagwe, Ngara na Biharamlo Mkoani Kagera inafanyika wakati ambapo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imekuwa ikipokea kwa wingi malalamiko ya Wananchi wanaohitaji msaada wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani