Wananchi waombwa kuitii NEC
TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imetoa mwito kwa wananchi kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kuepuka vurugu wakati wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu mkuu unaotarajiwa kufanyika kesho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Nov
Wananchi waombwa kuheshimu sheria
Watanzania wameombwa kuitunza amani na utulivu vilivyopo nchini ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa kisiwa cha amani.
Maombi hayo yamekuja mara baada ya kuibuka taarifa za kuwepo kikundi cha watu wanaotishia kufanya maandamano bila ya kibali kwa lengo la kupinga kuapishwa kwa Rais mteule wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli.
Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdallah Bin Yunusi Ally Mnyasi amesema ni muhimu wananchi wakaheshimu vyombo vya dola na mamlaka iliyowekwa kisheria ili kuondoa uvunjifu...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU
![](https://4.bp.blogspot.com/-AsUH_qwLQGs/VGSr7e5svtI/AAAAAAAGw8g/mFo8s5pkN9M/s640/unnamed%2B(5).jpg)
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Wananchi waombwa utulivu kukabiliana na majanga mawili ya mlipuko DRC
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vVBxhI4Mxm4/Uu89r9EFkPI/AAAAAAAFKiE/hkdnbLz68B0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
NEC yahimiza wananchi kutoa maoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
NEC yataja sababu wananchi kutopiga kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja sababu zinazochangia wananchi kushindwa kujitokeza kupiga kura katika chaguzi mbalimbali nchini. Sababu hizo zimetajwa mjini Bagamoyo jana na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
MAONI: Nec ifanyie kazi malalamiko ya wananchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ko14jQw3Zls/Xo68PqwYDeI/AAAAAAALmnI/Buhn4o0aV9QC_r349zTEh2OXzhnA6QljQCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.
Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.
Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...