Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi waombwa kuitii NEC

TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imetoa mwito kwa wananchi kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kuepuka vurugu wakati wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu mkuu unaotarajiwa kufanyika kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wananchi waombwa kuheshimu sheria

Watanzania wameombwa kuitunza amani na utulivu vilivyopo nchini ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa kisiwa cha amani.

Maombi hayo yamekuja mara baada ya kuibuka taarifa za kuwepo kikundi cha watu wanaotishia kufanya maandamano bila ya kibali kwa lengo la kupinga kuapishwa kwa Rais mteule wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli.

Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdallah Bin Yunusi Ally Mnyasi amesema ni muhimu wananchi wakaheshimu vyombo vya dola na mamlaka iliyowekwa kisheria ili kuondoa uvunjifu...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU

MPANGO Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) unatoa rai kwa wananchi wote wenye sifa za kuchangia damu wajitokeze kuchangia damu katika vituo vya Damu salama hasa kipindi cha mwezi Novemba mpaka Januari mwakani , kipindi ambacho wanafunzi wa sekondari wanakuwa likizo hivyo kusababisha kuongezeka kwa uhaba wa damu nchini.
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wananchi waombwa utulivu kukabiliana na majanga mawili ya mlipuko DRC

Waziri wa afya nchini humo Dkt. Eteni Longondo amethibitisha vifo vya watu wanne waliofariki na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi

Picha DC TMK

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Picha na 1

Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU MARA KWA MARA

Habari na picha na Rajabu Mwenda Waziri wa Afya na ustawi wa jamii Mheshimiwa Dr Seif S. Rashid alisema juzi siku ya jumamosi 02/02/2014 katika msikiti wa kichangani magomeni Dar-es-salaam ambako alikuwa mgeni rasmi katika zoezi la kuchangia damu ambalo liliratibiwa na Mpango wa Taifa wa damu salama kanda ya mashariki kwa kushirikiana na Jumuiya ya akhlaaqul Islaam (JAI)  Akisoma hotuba kwa niaba ya waziri wa afya kaimu mkurugenzi wa tiba wizara ya afya Dr Hadiel senkoro alisema, viongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yahimiza wananchi kutoa maoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yataja sababu wananchi kutopiga kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja sababu zinazochangia wananchi kushindwa kujitokeza kupiga kura katika chaguzi mbalimbali nchini. Sababu hizo zimetajwa mjini Bagamoyo jana na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nec ifanyie kazi malalamiko ya wananchi

>Tumelazimika kwa mara nyingine katika muda wa siku tatu kuitahadhalisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kwamba kasoro zinazoendelea kujitokeza katika uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa kutumia mfumo wa mashine za kielektroniki (BVR) zinaweza kukwamisha kazi hiyo iwapo tume hiyo haitapata suluhisho la kudumu.

 

5 years ago

Michuzi

NEC yataka wananchi wajitokeze katika uhakiki wa wazi wa kuwezesha kupiga kura.

Na Chalila Kibuda,Michuzi TV

 Wananchi waliojiandikisha katika Daftari la wapiga kura Mwaka 2015 na wale waliojiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari Awamu ya kwanza wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuhakiki taarifa zao pindi Daftari litakapowekwa wazi katika maeneo yao na watumie njia nyingine za uhakiki Kama ilivyoelekezwa.

Rai imetolewa leo Jijini Dar es salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Semistocles Kaijage katika ufunguzi wa mkutano ulioandaliwa na Tume ya Taifa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani