MAONI: Nec ifanyie kazi malalamiko ya wananchi
>Tumelazimika kwa mara nyingine katika muda wa siku tatu kuitahadhalisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kwamba kasoro zinazoendelea kujitokeza katika uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa kutumia mfumo wa mashine za kielektroniki (BVR) zinaweza kukwamisha kazi hiyo iwapo tume hiyo haitapata suluhisho la kudumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Aug
NEC ifanyie kazi tuhuma za kadi za kupigia kura
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
NEC yahimiza wananchi kutoa maoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Serikali ifanyie kazi ombi la Watoto wa Mitaani Mwanza
TIMU ya soka ya taifa inayoundwa na watoto wa mitaani, Jumapili iliyopita iliiweka Tanzania katika medani ya kimataifa, baada ya kubeba ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi katika mashindano hayo...
9 years ago
StarTV08 Sep
Lowassa aitaka NEC itoe ufafanuzi wa malalamiko
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutoa ufafanuzi juu ya malalamiko yaliyojitokeza, katika uhakiki wa Daftrai la Wapigakura linalodaiwa kutokuwapo kwa baadhi ya majina.
Mgombea huyo amesema, tume hiyo inapaswa kuwa makini katika uendeshaji shughuli zake kwa sababu dunia inawaangalia na kuitaka kurekebisha kasoro hizo mapema.
Akizungumza katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qIHpMWSYoHE/UwYrZzLiZuI/AAAAAAAASwo/8r7U2VzXuK0/s72-c/index.jpg)
Bunge la Katiba: Maoni kuhusu malalamiko kuwa posho haitoshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-qIHpMWSYoHE/UwYrZzLiZuI/AAAAAAAASwo/8r7U2VzXuK0/s1600/index.jpg)
Maria Sarungi-Tsehai, Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook ameandika: Kimsingi tuliteuliwa kwenda kuwakilisha wananchi wa vikundi mbalimbali katika Bunge maalum la katiba kufanya kazi moja tu kwa siku 70 - kuandaa pendekezo la katiba kisha tutawanyike turudi makwetu. Hatujaenda huko kutajirika wala...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
10 years ago
Habarileo05 Apr
Viongozi watakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao
VIONGOZI wa Serikali wametakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao na sio kuyapuuza kwani wanapofanya hivyo ndio chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p-yE4peQA7k/Xt5GAVvbhzI/AAAAAAALtE8/vcPMotWEaZ0Nr7jEKKCHf0846oJmw0d2gCLcBGAsYHQ/s72-c/851F322A-C87A-4919-92A3-A7012C9B6887-768x403.jpeg)
DEREK CHAUVIN-MIAKA 18 YA KAZI, MALALAMIKO 18 NA DAKIKA 8 ZA MAUAJI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
DEREK Chauvin ofisa wa polisi nchini Marekani amefahamika zaidi tangu Mei 25 mwaka huu na hiyo ni baada ya kutekeleza mauaji ya mmarekani mweusi George Floyd hadharani kwa kumkandamiza shingo kwa takribani dakika nane hadi umauti ulipomkuta.
Derek Chauvin alizaliwa Machi 19, 1976 huko Fayetteville na alihamia Minneapolis, Minnesota mwaka 2014 na alianza kufanya kazi akiwa ofisa wa polisi katika idara ya polisi Minneapolis mwaka 2001.
Kabla ya kufanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eL_rTLxFUCM/XsPcNL1x-GI/AAAAAAALqyA/t3WAo8HwZIchDLfKPmc7ZvpGnOYOMYHXACLcBGAsYHQ/s72-c/b3a058a4-b4ed-4a3c-8a19-2afe8c4e7c20.jpg)
Wananchi Mikoa ya Kusini wahimizwa kuwasilisha malalamiko yao THBUB
![](https://1.bp.blogspot.com/-eL_rTLxFUCM/XsPcNL1x-GI/AAAAAAALqyA/t3WAo8HwZIchDLfKPmc7ZvpGnOYOMYHXACLcBGAsYHQ/s640/b3a058a4-b4ed-4a3c-8a19-2afe8c4e7c20.jpg)
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (kushoto) akiongea na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Godfrey Zambi (kulia) alipomtembelea ofisini kwake leo Mei 18, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4412db6f-7a0a-4c02-8d7b-83c481907494.jpg)