Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Nec ifanyie kazi malalamiko ya wananchi

>Tumelazimika kwa mara nyingine katika muda wa siku tatu kuitahadhalisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kwamba kasoro zinazoendelea kujitokeza katika uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa kutumia mfumo wa mashine za kielektroniki (BVR) zinaweza kukwamisha kazi hiyo iwapo tume hiyo haitapata suluhisho la kudumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NEC ifanyie kazi tuhuma za kadi za kupigia kura

Kwa mara nyingine, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamedai kunasa kadi za kupigia kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yahimiza wananchi kutoa maoni

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ifanyie kazi ombi la Watoto wa Mitaani Mwanza

TIMU ya soka ya taifa inayoundwa na watoto wa mitaani, Jumapili iliyopita iliiweka Tanzania katika medani ya kimataifa, baada ya kubeba ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi katika mashindano hayo...

 

9 years ago

StarTV

Lowassa aitaka NEC itoe ufafanuzi wa malalamiko

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutoa ufafanuzi juu ya malalamiko yaliyojitokeza, katika uhakiki wa Daftrai la Wapigakura linalodaiwa kutokuwapo kwa baadhi ya majina.

Mgombea huyo amesema, tume hiyo inapaswa kuwa makini katika uendeshaji shughuli zake kwa sababu dunia inawaangalia na kuitaka kurekebisha kasoro hizo mapema.

 

 Akizungumza katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi...

 

11 years ago

Michuzi

Bunge la Katiba: Maoni kuhusu malalamiko kuwa posho haitoshi


Maoni ya baadhi ya wadau kuhusu lawama kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa posho ya Shilingi 300,000/= wanayolipwa kwa siku, haikidhi haja.

Maria Sarungi-Tsehai, Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook ameandika: Kimsingi tuliteuliwa kwenda kuwakilisha wananchi wa vikundi mbalimbali katika Bunge maalum la katiba kufanya kazi moja tu kwa siku 70 - kuandaa pendekezo la katiba kisha tutawanyike turudi makwetu. Hatujaenda huko kutajirika wala...

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi watakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao

VIONGOZI wa Serikali wametakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao na sio kuyapuuza kwani wanapofanya hivyo ndio chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.

 

5 years ago

Michuzi

DEREK CHAUVIN-MIAKA 18 YA KAZI, MALALAMIKO 18 NA DAKIKA 8 ZA MAUAJI


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
DEREK Chauvin ofisa wa polisi nchini Marekani amefahamika zaidi tangu Mei 25 mwaka huu na hiyo ni  baada ya kutekeleza mauaji ya mmarekani mweusi George Floyd hadharani kwa kumkandamiza shingo kwa takribani dakika nane hadi umauti ulipomkuta.
Derek Chauvin alizaliwa Machi 19, 1976 huko Fayetteville na alihamia  Minneapolis, Minnesota mwaka 2014 na alianza kufanya kazi akiwa ofisa wa polisi katika idara ya polisi Minneapolis mwaka 2001.
Kabla ya kufanya...

 

5 years ago

Michuzi

Wananchi Mikoa ya Kusini wahimizwa kuwasilisha malalamiko yao THBUB



Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (kushoto) akiongea na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Godfrey Zambi (kulia) alipomtembelea ofisini kwake leo Mei 18, 2020.Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Godfrey Zambi (katikati) akiagana na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu na ujumbe wake muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani