WANANCHI MKOANI KAGERA KUNUFAIKA NA WIKI YA MSAADA WA SHERIA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9g0Nth88W80/Xl7EgswZbtI/AAAAAAALgzs/cGmtb8HNmUIH3tEwXDGWYLaj4m2TMY4sgCLcBGAsYHQ/s72-c/eade1d78-46c1-4e8e-8cec-1a444af80c45.jpg)
Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.
Wiki ya msaada wa Sheria imezinduliwa Mkoani Kagera Wilayani Karagwe na Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti katika Viwanja vya Changarawe Wilayani humo, lengo likiwa ni kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi hususani makundi maalumu.
Uwepo wa huduma hii itakayotolewa katika Wilaya za Karagwe, Ngara na Biharamlo Mkoani Kagera inafanyika wakati ambapo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imekuwa ikipokea kwa wingi malalamiko ya Wananchi wanaohitaji msaada wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANANCHI WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA UCHUKUZI KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA MAZINGIRA YANAYOFANYIKA KITAIFA MKOANI TANGA
10 years ago
Michuzi29 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wananchi kata ya Kisaki kunufaika na nishati ya Jotoardhi
Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania.
Na Lilian Lundo – Maelezo
Wananchi kata ya Kisaki, wilaya ya Morogoro Vijijini kunufaika na nishati ya jotoardhi inayotokana na chanzo cha maji ya moto yaliyoko katika kata hiyo.
Akiongea na kamati ya maendeleo ya kata ya Kisaki leo, Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania aliiambia kamati hiyo kuwa, Kisaki ni mojawapo ya Kata ambazo zitanufaika na nishati ya umeme...
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wananchi kunufaika na viwanja 444 vya NSSF
Frank Mvungi-Maelezo
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) laanza kuuza viwanja takribani 444 vyenye jumla ya mita za mraba 465,161 katika eneo la Kiluvya A Halmashauri ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Hayo yamesema na Meneja Miradi wa NSSF Bw.Abdallah Mseli wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea eneo la mradi huo kuona maendeleo ya mradi huo .
“Eneo hili litakuwa na makazi mapya ya kisasa, litakuwa na huduma muhimu za maji,umeme,barabara na pia kuna maeneo ya kujenga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsOn4ZpQStywWSOGH-N9rykvQYxop5xd-qlVaw-cAcAl1Ty28irxenbtVTjA-rKgxPVOrL3eWj-hpp--b6IiAOv/ujasiriamali3.jpg)
WANANCHI WAENDELEA KUNUFAIKA NA SEMINA YA DR.DIDAS JIJINI DAR
10 years ago
StarTV09 Jan
Wananchi Kusini kunufaika na ujenzi wa Reli ya Mbamba Bay.
Na Adam Nindi,
Songea.
Wananchi wanaoishi Kusini mwa Tanzania jirani na Nchi za Msumbiji na Malawi wanatarajia kunufaika na Reli itakayojengwa kutoka Mbamba Bay wilayani Nyasa hadi mkoani Mtwara ambayo ujenzi wake utaanza mwezi Juni mwaka huu.
Katika ziara ya siku moja mkoani Ruvuma, Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe amebainisha kuwa reli hiyo ya Mtwara Kolido itagharimu fedha za kimarekani dola Bilioni tatu mpaka kumalizika kwake.
Waziri Mwakyembe amesema ujenzi wa Reli hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfxEmWi_bow/VWGRGcEGW9I/AAAAAAAAsaI/9WPjEMYIinY/s72-c/1.jpg)
WANANCHI VIJIJINI KUNUFAIKA NA MAWASILIANO YA SIMU KUTOKA TTCL
Kata hizo ni pamoja; Oljoro –Arusha, Olmotonyi- Arusha, Olorieni – Arusha, Chikola- Dodoma, Mpalanga- Dodoma, Farkwa-Dodoma, Iduo-Dodoma, Masagalu-Tanga,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)